Lord OSAGYEFO
JF-Expert Member
- Feb 19, 2021
- 3,085
- 4,890
Naomba wanasheria wetu Waliobobea kwenye Masuala ya Katiba watuelimishe kisheria. Je, Uwepo wa Wabunge kinyume na katiba ya nchi na Kushiriki vikao na Kuchangia hoja Mbalimbali na Kupitisha Misuada na Sheria mbalimbali huku Wakiwa Hawana SIFA za kuwa Wabunge Kutokana na kufukuzwa Uanachama Wao ndani ya chama chao Je bunge hilo ni halali kwa mujibu wa Sheria?