Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
Leo katika kikao cha 12 cha mkutano wa 18, Bunge linajadili Muswada wa Marekebisho ya Sheria ya Usimamizi wa Mazingira wa 2024, ambapo Waziri wa Nchi (Muungano na Mazingira) atatoa maelezo.
Pia, Mwenyekiti wa Kamati ya PAC atawasilisha taarifa ya shughuli za kamati hiyo kwa mwaka 2024 kwa mjadala na maamuzi.
Katika Kipindi cha Maswali na Majibu, wizara mbalimbali zitajibu jumla ya maswali 19 ya msingi, ikiwemo TAMISEMI, Nishati, Afya, Kilimo, Uchukuzi na Fedha.
PAC yabaini kasoro ujenzi Uwanja wa Ndege wa Msalato
Kamati ya Bunge ya PAC imegundua dosari katika ujenzi wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Msalato, ikiwemo ajira kwa wahandisi wasiosajiliwa, ujenzi bila vibali, ongezeko la gharama kwa Shilingi Bilioni 3.04, na ucheleweshaji wa malipo ya mkandarasi hadi Shilingi Bilioni 5.729. PAC imetaka serikali kuhakikisha miradi inatekelezwa kwa kufuata sheria ili kuepuka upotevu wa fedha za umma.
Pia, Mwenyekiti wa Kamati ya PAC atawasilisha taarifa ya shughuli za kamati hiyo kwa mwaka 2024 kwa mjadala na maamuzi.
Katika Kipindi cha Maswali na Majibu, wizara mbalimbali zitajibu jumla ya maswali 19 ya msingi, ikiwemo TAMISEMI, Nishati, Afya, Kilimo, Uchukuzi na Fedha.
PAC yabaini kasoro ujenzi Uwanja wa Ndege wa Msalato
Kamati ya Bunge ya PAC imegundua dosari katika ujenzi wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Msalato, ikiwemo ajira kwa wahandisi wasiosajiliwa, ujenzi bila vibali, ongezeko la gharama kwa Shilingi Bilioni 3.04, na ucheleweshaji wa malipo ya mkandarasi hadi Shilingi Bilioni 5.729. PAC imetaka serikali kuhakikisha miradi inatekelezwa kwa kufuata sheria ili kuepuka upotevu wa fedha za umma.