Bunge la bajeti 2011/2012 na yatokanayo

anasema pesa ya tz imeshuka thamani kwa 8.5% ukilinganisha na dola ya marekani mwaka 2010 sababu ni kuimarika kwa dola ya marekani na mahitaji makubwa ya dola hapa nchini.
 

bora amejibu hivo kwani angesema mchakato unaendelea lingekuwa jibu la kisanii zaidi, ila kwa hivo alivojibu tusubiri siku akija kujibu atatudanganya nini?
 
Sasa kama waziri anaulizwa anajibu hajui mnashangaa nini, wakati wengine wanaulizwa kwa nini WATANZANIA MASKINI anajibu hajui!
 
Mr Mak maswali mengi majibu yake ni kuwa mchakato unaendelea au mikakati ipo ndo maana majibu yao yanakuwa ya kisiasa zaidi na sio ya kiutendaji
 
Tanzania mortage refianance company kwa ajili ya mikopo midogo ningeomba msaada kwenye hii kitu maana .mkulo anasema imeanzishwa kuwezesha watu wenyewe kipato cha chini na wastani kuweza kukopa na kuweza kujenga nyumba......
 
Maganga
Kuna sheria mpya nafikiri ilipitishwa mwaka jana ya
Mortgage Finance ambayo dhamira yake kuu ni kusaidia na kuwezesha taasisi za fedha kutoa mikopo ambayo itawawezesha kujenga nyumba. Sijaisoma vizuri ila ngoja nikaipitie then will revert back to you hata PM nikuambie inaoperate kivipi
 
Itakapofika saa 9 kamili, mh. mkulo, Waziri wa Fedha ataingia na kabrasha lenye mambo yote kuhusu bajeti. Muda huo ndio ataanza kusoma, kesho na ijumaa itakuwa ni kupitia vifungu vya budget bt Discussion yenyewe itaanza j3.
 
Nnajua Watanzania tulio wengi wetu masikini tunatarajia sn bajeti hii ya Serikali itupe unafuu sbb ya hali ngumu tuliyonayo kwa sasa na tulipotoka na huko tunakoelekea.Nilimsikiliza vizuri sana Mwenyekiti wa Chama cha CUF mheshimiwa Ibrahimu Lipumba alipohojiwa na radio Maguc ya jijini Dar es Salaam.Alisema hii neema tunayoitazamia kutoka kwa viongozi wetu hakuna kitakachobadilika sana hali ngumu itazidi.
Alisema pia bajeti itakayosomwa kwa watanzania inatofautiana sn na bajeti waliyopewa wafadhili wetu.Akimaanisha tunayosomewa sisi ni ya maumivu lkn waliyopewa nchi wafadhili itawadanganya sbb ya unafuu unaotofautiana na hii ya wananchi.Ndugu yangu anafanya biashara ya magari juzi alikuja nyumbani akilalamika namna TRA walivyopandisha mapato ya kuingiza magari nchini.Wameshapandisha kabla hata ya bajeti kusomwa.Sasa je hii kodi waliyoipandisha kabla ya kuanza kwa mwaka wa fedha wa Serikali pesa hizo wanazipeleka wapi?Tuendelee kuyatarajia maumivu(hali ngumu ya maisha)tumepoteza matumaini na huko tunapoelkea mambo yatakuwa mabaya sana.Tupo hapa jamvini tutakuja kukumbishana siku za usoni.
 
Maganga bila wafadhili hakuna kitu mkuu na ndio hapo ninapokuambia wakigoma hakuna kitu katika bajeti ya Mkullo ni bla bla tuu
 
Eti mchakato wa sarafu moja ya eac mhhh kweli tuko tayari kuwa na sarafu moja ya eac ..
 

kwa hiyo hajui kwa nini hayo makadirio ya nyongeza yapo pale bandarini?
 
Mkoa wa Katavi ?
 

asante mkuu tuko pamoja
 
TBC 1 LIVE Mustafa Mkulo anashusha mistari yenye vina kuhusiana na bajeti 2011 -2012 pata uhondo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…