Bunge la CCM ndiyo mchawi wetu

Bunge la CCM ndiyo mchawi wetu

Msanii

Platinum Member
Joined
Jul 4, 2007
Posts
25,252
Reaction score
36,513
Bunge hili lililotokana na Uchafuzi Mkuu ndilo limetultea
Tozo lukuki
Mfumuko wa bei
Mkwamo miradi ya kimkakati
Mgao wa umeme
Wastaafu kutolipwa mafao
Wizi wa bando
Ongezeko la uhalifu
Utendaji holela serikalini
Uchawa

Ni bora Bunge hili likastaafishwa kwa lazima 2025.

Kila hoja hapo juu inawahusu hao wagonga meza
20220812_211745.jpg
 
Back
Top Bottom