Bunge hili lililotokana na Uchafuzi Mkuu ndilo limetultea
Tozo lukuki
Mfumuko wa bei
Mkwamo miradi ya kimkakati
Mgao wa umeme
Wastaafu kutolipwa mafao
Wizi wa bando
Ongezeko la uhalifu
Utendaji holela serikalini
Uchawa
Ni bora Bunge hili likastaafishwa kwa lazima 2025.