Bunge la Ghana lahimiza kupitishwa kwa muswada wa kupinga ushoga

Bunge la Ghana lahimiza kupitishwa kwa muswada wa kupinga ushoga

Suley2019

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2019
Posts
2,203
Reaction score
5,610
1688670508654.png

Bunge la Ghana limeunga mkono marekebisho yanayopendekezwa kwenye muswada wa kupinga ushoga ambao ungewafanya wanaojitambulisha kuwa Mashoga wahukumiwe kifungo cha miaka mitatu gerezani.

Marekebisho hayo yalipata uungwaji mkono kutoka kwa kundi la wabunge wa vyama vyote, lakini bado yatafanyiwa uchunguzi zaidi kabla ya kuwa sheria.

Watetezi wa haki za Mashoga pia wanaweza kukabiliwa na kifungo cha hadi miaka 10 gerezani.
---

The Ghana parliament has backed a proposed amendment to an anti-gay bill that would make identifying as LGBT punishable by a three-year prison sentence.

The amendments were backed by a cross-party group of MPs, but will be scrutinised again before becoming law.

People who campaign for LGBT rights could also face up to 10 years in jail.

BBC
 
safi sana Africa tuamke Dunia bila Mzungu inawezekana
 
Waafrika ni wajinga sana kwa kukumbatia utamaduni wa kigeni na kwa hilo wanaongoza duniani na hadi majina, mavazi, imani za kidini na hata lugha wanaabudu za kigeni.

Afrika bure kabisa.
 
Back
Top Bottom