Bunge la katiba kutokuwa na website ni kuminya uhuru wa Habari

Bunge la katiba kutokuwa na website ni kuminya uhuru wa Habari

UFUNUO WA TANZANIA

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2013
Posts
471
Reaction score
166
Nimesikitiswa sana na namna bunge linavyoendeshwa huku wananchi tukiwa hatuna access na taarifa mbali mbali na nyaraka Za wazi ambazo tunapaswa kuzielewa. Kwa nini wasiige Mfumo Kama wa tume ya katiba kuwa na website ambako nyaraka zitawekwa au watumie basi website ya bunge la jamhuri kuweka nyaraka mbalimbali mfano kwa sasa rasimu ya kanuni Za katiba ilipaswa kuwa wazi. Hii dhamira ya kutunyima uhuru wa taarifa wakati ni haki yetu?
 
Ni kweli mkuu ni kweli tunakosa nyaraka nyingi kutokana na uzembe wa watu wachache wanategemea kutengeneza siwa ya karibia nusu bilioni lakini hawana hata website
 
Back
Top Bottom