obama sererea
Senior Member
- Mar 13, 2012
- 101
- 37
rasimu itatumika kama muongozo tu wa majadiliano ya bungo,ingawa bunge litakuwa na mamlaka hata ya kuibadili rasimu nzima na kuandika katiba nyingine kabisa mfano wakaamua muundo wa muungano uwe serikali moja tu!wanavyojua mimi bunge la katiba litakwenda kujadili yaliyo ndani ya rasimu tu! Na sio yasiyokuwemo. Swali langu hapa ndugu zangu ni sehemu gani ndani ya rasimu ya imeandikwa serikali mbili?