East African Eagle
JF-Expert Member
- Jul 26, 2013
- 3,759
- 2,206
Bunge la katiba liwe na lengo (milestone) ya kufikiwa kila siku.Waweke utaratibu kuwa kwa siku wajadili nini na lazima wamalize hata kama mjadala huo utakamiliki saa kumi alfajiri lazima ukamilike hakuna kulala.Hii spidi wanayoenda nayo inatukera.Wengine uvumilivu na uzalendo utatuishia.
Waweke milestone na waambiane kabisa leo tutajadili kanuni mfano 10 na hatutoki hadi tumalize.Bila kuwa na milestone hili bunge litaisha 2030.Wajifunze kuweka milestone na iwe marufuku mtu kurudia rudia hoja iliyosemwa na mwingine.Spika awakalishe chini watu wasio na hoja wale akina naunga mkono alichosema mwenzangu.
Waweke milestone na waambiane kabisa leo tutajadili kanuni mfano 10 na hatutoki hadi tumalize.Bila kuwa na milestone hili bunge litaisha 2030.Wajifunze kuweka milestone na iwe marufuku mtu kurudia rudia hoja iliyosemwa na mwingine.Spika awakalishe chini watu wasio na hoja wale akina naunga mkono alichosema mwenzangu.