Bunge la katiba: Mbunge akumbusha kusaini mahudhurio

Bunge la katiba: Mbunge akumbusha kusaini mahudhurio

faiman120

Member
Joined
Jan 24, 2014
Posts
79
Reaction score
20
Katika kikao kilichoendelea bungeni wakati mwenyekiti akiahirisha hadi ijumaa ndipo akasimama mbunge mmoja na kutamka kwa sauti kubwa "HATUJASAINII" ndipo mwenyekiti akamtoa wasi wasi kua karatasi ipitishwe na wasaini mahudhurio, mimi nilipata hisia kua mbunge yule alikua anakumbushia posho ya kikao isije ikasahauliwa kwa siku ya leo maana alihisi bila kusaini kusingekua na posho
 
Back
Top Bottom