Bunge la Katiba: Nafasi ya Mzee Kingunge wapewe walemavu wa kusikia

Bunge la Katiba: Nafasi ya Mzee Kingunge wapewe walemavu wa kusikia

Mkoroshokigoli

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2012
Posts
14,593
Reaction score
5,581
Mkurugenzi wa Chama cha Viziwi Tanzania (Chavita), Dickson Mveyange alisema kitendo alichokifanya Rais Kikwete kushindwa kumteua mwakilishi wao kimewasononesha.Alisema nchi nzima kuna wanachama zaidi ya milioni mbili wa chama hicho, lakini kundi hilo halitakuwa na mwakilishi katika Bunge
Habari hii nimeisoma kwenye gazet la mwananch la leo feb 9,

MTAZAMO WANGU: Kwakua Bunge la Katiba limejaa sana wanasiasa,na kwakua Mzee Kingunge yupo kwenye Orodha ya wawakilishi wa asasi za kiraia,napendekeza jina lake litolewe ili awekwe mwakilishi yeyote wa VIZIWI.
 
Haitawezekana! Acheni kumpangia rais kazi! Hawezi kumridhisha kila mtu! Binadamu kwa kulalama hata umpe mabilioni!
 
kingunge anaenda kuharibu mchakato, mwacheni akacheze na wajukuu wak
 
Na. Nafasi ya Prof Safar tumweke Teja mmoja pale Kinondon kwa Manyanya sioo!!?!
Achen umbumbumbu waTz
 
Hivi Rais kasahau mjumbe kutoka familia za waliowahi kuwa viongozi wa CCM ili waingize maslahi ya wapendwa wao wawe wanalipwa posho kwa kuwa makada waandamizi wa chama?
 
Haitawezekana! Acheni kumpangia rais kazi! Hawezi kumridhisha kila mtu! Binadamu kwa kulalama hata umpe mabilioni!
Kingunge hakuweza kuisaidia Tanzania alipikuwa kijana sasa hana hata jino moja anakwenda kuntungia nani katiba,???
 
Na. Nafasi ya Prof Safar tumweke Teja mmoja pale Kinondon kwa Manyanya sioo!!?!
Achen umbumbumbu waTz

ushabik wa kivyama ndo unakuharibu,na inaonesha unazid kuharibikiwa maskin
 
Haitawezekana! Acheni kumpangia rais kazi! Hawezi kumridhisha kila mtu! Binadamu kwa kulalama hata umpe mabilioni!

matamsh kama haya huwa nayasoma yanapotolewa na ofis ya Kurugenz ya Mawasiliano,Ikulu je ww ni mtumishi?
Rais alisema kuwa atahakikisha kila kundi linapata uwakilishi,na pia hata wahazabe nao wamelalamika ingawa wamepeleka majina,hawana wawakilishi mbona kwenye rasimu wametajwa,maana unaweza kuwa unaandika hapa kumbe hata sheria ya mabadiliko ya ratiba hujaisoma,na rasimu hujaisoma,,,,
 
Nasubiria kuona Mausingizi ya nguvu na kila wakisshutuka migongo ya nguvu ya meza,napita tu,
 
Back
Top Bottom