Bunge la Katiba: Nani atakuwa Spika?

Bunge la Katiba lina Mwenyekiti halina Spika.
 
Hu ni mjadala uliosahaulika na nimuhimu sana kwa tanzania tuitakayo.

Kama ni anne makinda watanzania tusahau katiba tuikakayo.

Tanahitaji Spika mwingine.
 
WE kaizi kweli unamwamini 6 ambaye naye anaamini serikali 2 ndiyo msingi, hafu yeye hapitishi maamuzi bali yeye ni mwongozaji tu. Mkuu wa kaya ameshasema na hata kwenye sheria ya kuundwa bunge la katiba imeandikwa kuwa maamuzi yatapitishwa kwa kupigiwa kura hivyo 2/3 ndo ushindi wa kila kipengele.

 
sitta is a coward,mnakumbuka alivyoua mjadala wa richmond baada ya kutishiwa kuporwa kadi?kwani msimamo wa ccj ni upi kwenye hii katiba?
 
sita ataharibu sana mjadala, wamweke msomi wa uchumi kutoka chuo alichosoma Obama MHESHIMIWAA ANDREW CHENGE
 
Nashauri ateuliwe Mchungaji Christpher Mtikila. Hapo patachimbika.
 
Spika wa bunge hatazamwi kwa jinsia, dini, wala zanzibar, tunahitaji spika mwenye taalumaa na anayeweza kusimamia maamuzi sahihi, ili tupate katiba iliyo bora.
 

Avatari yako ni sawa na matendo yako! Mnapenda sana kupendelewa kama wanawake.. Kwani nyie hamjiwezi? Mna tabu na mizimu yenu!
 

hahaha kazi kweli vip huyo atakayetoka Zanzibar atakua Mpemba au Muunguja? Huyo atakayetoka bara atatoka Kusini,Kaskazin,Mashari au Magharibi mwa Tanganyika? Back kwenye dini atakayekua Mkristo atatoka RC,Lutheran,Pentecoste au? TANZANIA NI WAMOJA hii dhana itatupeleka kubaya kubaguana kikabila na kidini.na ukiona mtu anakaribu kutafuta ratio huyo ni Mbaguzi.
 
Nashauri ateuliwe Mchungaji Christpher Mtikila. Hapo patachimbika.

Hivi huwa mnachangia mada mkitumia akili au makalio? hivi Mtikila akiwa spika atamuda saa ngapi wa kutetea hoja ya Tanganyika? au haujui spika anatakiwa kuwa neutral?
 

Nashukuru hilo jambo la ubaguzi ambalo limeanza kujitokeza nchini na ambalo lilikuwa linakemewa sana na Baba wa Taifa tangu enzi hizo. Haipendezi kupeana nafasi za majukumu kwa kuzingatia Kanda, Mkoa, wilaya, Dini, Jinsi, urafiki na Ushikaji. Tunatakiwa tuzingatie kiwango cha Elimu, Hekima na Uwezo wa kutekeleza majukumu tarajiwa. Mtu ukianza kubagua wenzako kwa Kanda, Mkoa, wilaya, Dini, Jinsi, urafiki na Ushikaji; ubaguzi hauishii hapo utakwenda hadi uguse Ukoo, familia na kaya!!! Sikiliza hi hotuba ya Baba wa Taifa aliyoitoa mwaka 1995 uburudike!!


 
Last edited by a moderator:
Reactions: kdc
Tunahitaji weledi na si kubalance,Katiba nzuri itatokana na weledi wa mambo mbalimbali,uzalendo na matumizi ya nguvu za hoja,kwani jema na zuri likifanikishwa na muislamu mkristu hatafaidi?. na je jambo baya likifanikishwa na mwanamke halitaathiri wanawake?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…