Mandla Jr.
JF-Expert Member
- Dec 15, 2013
- 3,098
- 631
Kwa wale wajuzi na wenye uelewa mpana wa jambo hili la Bunge la Katiba,
taratibu zake zitakuwa ni sawa na zile za Bunge la kawaida ama zitakuwa vip??
Viongozi wake watakuwa kina nani mfano Spika/N.Spika?? Ninafahamu ya kuwa
Wabunge wasasa hiviwatakuwepo ndani ya hilo Bunge,,,Je wataingia na nyadhifa zao???
Kwa wale Wabunge wapenda VURUGU, MATUSI na KUPIGANA vipi watapata nafasi ya
kuonyesha "VIPAJI" vyao???
Swali la mwisho; Bunge lina taratibu zake na kanuni za kuliongoza...Hapa katika Bunge la
Katiba ni kanuni zipi zitakazo tumika kuliendesha???
Hongereni kwa mlio chaguliwa, hela iko ya kutosha lakini pia ni nafasi yenu pia kujitangaza
upya kwa wananchi.
Mandla.
taratibu zake zitakuwa ni sawa na zile za Bunge la kawaida ama zitakuwa vip??
Viongozi wake watakuwa kina nani mfano Spika/N.Spika?? Ninafahamu ya kuwa
Wabunge wasasa hiviwatakuwepo ndani ya hilo Bunge,,,Je wataingia na nyadhifa zao???
Kwa wale Wabunge wapenda VURUGU, MATUSI na KUPIGANA vipi watapata nafasi ya
kuonyesha "VIPAJI" vyao???
Swali la mwisho; Bunge lina taratibu zake na kanuni za kuliongoza...Hapa katika Bunge la
Katiba ni kanuni zipi zitakazo tumika kuliendesha???
Hongereni kwa mlio chaguliwa, hela iko ya kutosha lakini pia ni nafasi yenu pia kujitangaza
upya kwa wananchi.
Mandla.