Kidotulotokordwak
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 286
- 43
Taarifa ya habari ya Kbc imesema hoja binafsi imewasilishwa bungen ikitaka sifa za mtu kuwa mbunge awe ni degree holder na hoja hii itajadiliwa wiki ijayo,kama ikipita wabunge wenye sec certificate hawataruhusiwa kugombea kwenye uchaguz ujao.WA TZ KATIBA INAKUJA HII NI POINT YA MCNG