Mwenzetu ulikuwa unafuatilia Bunge Gani? Waliokataa mapendekezo ni wabunge wa CCM na wala si Makinda, na sheria haimruhusu yeye kufanya hivyo.leo nilikuwa nafatilia bunge wakati linapitisha sheria ya fedha ya mwaka 2011 lakin mwenendo alioutumia Mweshimiwa Makinda kukataa mabadiliko yaliyopendekezwa na Dhambi na Tundu Lisu na Mnyika sijaufurahia maana unageuza bunge kuwa puppet wa serikali na serikali kuwa watunga sheria kitu ambacho si kizuri kwa masirah ya taifa letk
mtazamo wang n jns anavyotumia fimbo yak kudtermine saut za ndio na hapana, smtime nahs kama hakuna logic wala consstenc kweny finding zakMwenzetu ulikuwa unafuatilia Bunge Gani? Waliokataa mapendekezo ni wabunge wa CCM na wala si Makinda, na sheria haimruhusu yeye kufanya hivyo.