Bunge la Peru lamuondoa Rais Madarakani huku Tanzania Mzee Makamba akichochea kuni moto uwake

Bunge la Peru lamuondoa Rais Madarakani huku Tanzania Mzee Makamba akichochea kuni moto uwake

The Supreme Conqueror

JF-Expert Member
Joined
Feb 13, 2017
Posts
458
Reaction score
1,280
Bunge la nchini Peru limemuondoa madarakani Rais wa taifa hilo Pedro Castillo na nafasi yake kuzibwa na makamu wa Rais Dina Boluarte baada ya Rais huyo kufanya jaribio la kuvunja bunge la nchi hiyo

Rais huyo alitangaza kutaka kulivunja bunge la nchi hiyo baada ya bunge kuanza mchakato wa kupiga kura za kumuondoa Rais huyo kwa kile wanachodai kuwa sio muadilifu kazini

Katika zoezi la kura wabunge 101 walipiga kura za ndio. na hapana 6 huku kura 10 zikiharibika.
HUKU KWETU TANZANIA JANA MZEE MAKAMBA ALISHINDWA KUONESHA BUSARA PALE ALIPOULIZWA SWALI NA MWANDISHI KUHUSU MGAO WA UMEME NCHINI WIZARA INAYOSIMAMIWA NA MWANAE JANUARY.
Screenshot_20221208-093912.png
 

Attachments

  • Facebook 825763411839065(360p).mp4
    6.3 MB
jina makamba kwa nini lisiwe na kamba za kutosha kwa wa wananchi
 
Analazimisha watu wamwelewe.

Ushukuru wakati viongozi ndio wanatakiwa kutushukuru wananchi kwa kulipa kodi na kuwatuma waisimamie kutuletea umeme na maji.


Umeme unatkatika anataka tushukuru. Kwani tuliwatuma wafanye kaz ya kukata umeme?
 
Bunge la Peru lina nguvu sana, katika miaka 6 wamebadilisha Marais watano!
 
Bunge la nchini Peru limemuondoa madarakani Rais wa taifa hilo Pedro Castillo na nafasi yake kuzibwa na makamu wa Rais Dina Boluarte baada ya Rais huyo kufanya jaribio la kuvunja bunge la nchi hiyo

Rais huyo alitangaza kutaka kulivunja bunge la nchi hiyo baada ya bunge kuanza mchakato wa kupiga kura za kumuondoa Rais huyo kwa kile wanachodai kuwa sio muadilifu kazini

Katika zoezi la kura wabunge 101 walipiga kura za ndio. na hapana 6 huku kura 10 zikiharibika.
HUKU KWETU TANZANIA JANA MZEE MAKAMBA ALISHINDWA KUONESHA BUSARA PALE ALIPOULIZWA SWALI NA MWANDISHI KUHUSU MGAO WA UMEME NCHINI WIZARA INAYOSIMAMIWA NA MWANAE JANUARY.
View attachment 2439286
Vijambio vya mama hivyo hata vinye ana vipangusa na toilet paper tu [emoji23][emoji28]
 
Ila jamani Mungu hayuko fair kabisa, alicho tufanyia kichwani watu weusi wakati anatuumba hakikubaliki hata na shetani
 
Back
Top Bottom