MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 32,408
- 50,809
Wenzetu hawa wanavyopenda kuchachamaa kuhusu ukabila kwetu utadhani kwao ni binguni hamna aina yoyote ya ubaguzi, ilhali mitandao ya kijamii huanika uozo wao haswa kwenye bunge ambapo mizuka ya wabunge husababisha wanaanza kushambuliana kwa misingi ya kikabila, kikanda na asili ya mtu, mara rudi kwenu Yemen, mara huyo ni Mkongoman arudi kwao Congo.
Mitandao ya kijamii imesababisha wanafiki wengi dunia hii kuanikwa mchana peupe, unachobwatuka kinasambazwa dunia yote wanakuona, uchafu wote na viraka na jinsi ulivyo.
Kwetu huwa tunakiri tatizo lipo, lakini hutaona tukielekeza vidole vya lawama kwa majirani kiunafiki, tunapambana nalo ndani kwa ndani.
Mitandao ya kijamii imesababisha wanafiki wengi dunia hii kuanikwa mchana peupe, unachobwatuka kinasambazwa dunia yote wanakuona, uchafu wote na viraka na jinsi ulivyo.
Kwetu huwa tunakiri tatizo lipo, lakini hutaona tukielekeza vidole vya lawama kwa majirani kiunafiki, tunapambana nalo ndani kwa ndani.