Bunge la Tanzania jitafakarini kwanini hamfuatiliwi mijadala yenu kama zamani

Bunge la Tanzania jitafakarini kwanini hamfuatiliwi mijadala yenu kama zamani

jitombashisho

JF-Expert Member
Joined
Jun 11, 2020
Posts
667
Reaction score
2,245
Lipo tatizo tena kubwa mno kwenye Mhimili wetu wa Bunge la Tanzania.

Binafsi,hadi mchana wa leo sikuwa natambua kwamba vikao vya Bunge vimeanza huko Dodoma na imani yangu ni Watanzania wengi ambao pia hawaelewi kuhusu vikao hivyo kama vimeanza.

Sasa,kwa aina hiyo ya kupuuzwa lazima Bunge letu litambue upo walakini wa kwa nini raia hawapendi tena kufuatilia mambo yahusuyo mhimili huo.

Lazima Bunge lielewe ni wazi limepuuzwa!
 
Mimi baada ya kuona ujumbe wako ndio nakumbuka kuwa leo Bunge la mazuzu ndio limeanza hata sikuwa na habari nao.

Kiukweli mkipewa jukumu la kuisimamia serikali halafu tena mnasema kiundwe chombo kingine cha kuisimamia serikali kiukweli ni UTAHIRA.

Wabunge wa sasa kwa jinsi walivyopatikana hawana UWEZO wa kufanya chochote cha maana, yaani HAWAWEZI HATA KIDOGO.

HILI BUNGE TUMEPIGWA PAKUBWA MNO ACHA TU WALE PESA MPAKA 2025 HAKUNA NAMNA.
 
Naamini zamani unayoikusudia itakuwa sio awamu iliyopita.
 
Kwa Bunge hili ni bola utumie muda wako kusoma hata vitabu vya wazungu. Maana unaweza kuokota hata point za maisha yako.
 
Lipo tatizo tena kubwa mno kwenye Mhimili wetu wa Bunge la Tanzania.

Binafsi,hadi mchana wa leo sikuwa natambua kwamba vikao vya Bunge vimeanza huko Dodoma na imani yangu ni Watanzania wengi ambao pia hawaelewi kuhusu vikao hivyo kama vimeanza.

Sasa,kwa aina hiyo ya kupuuzwa lazima Bunge letu litambue upo walakini wa kwa nini raia hawapendi tena kufuatilia mambo yahusuyo mhimili huo.

Lazima Bunge lielewe ni wazi limepuuzwa!
Halina maana yoyote bunge limebakia Ni mazuzu in Prof Asad voice,
 
Lipo tatizo tena kubwa mno kwenye Mhimili wetu wa Bunge la Tanzania.

Binafsi,hadi mchana wa leo sikuwa natambua kwamba vikao vya Bunge vimeanza huko Dodoma na imani yangu ni Watanzania wengi ambao pia hawaelewi kuhusu vikao hivyo kama vimeanza.

Sasa,kwa aina hiyo ya kupuuzwa lazima Bunge letu litambue upo walakini wa kwa nini raia hawapendi tena kufuatilia mambo yahusuyo mhimili huo.

Lazima Bunge lielewe ni wazi limepuuzwa!
Nimeona itv usiku huu tena eti mambo ya NIDA
 
Mwenye majibu mazuri ya hili swali ni mpendwa wako jiwe.
Lipo tatizo tena kubwa mno kwenye Mhimili wetu wa Bunge la Tanzania.

Binafsi,hadi mchana wa leo sikuwa natambua kwamba vikao vya Bunge vimeanza huko Dodoma na imani yangu ni Watanzania wengi ambao pia hawaelewi kuhusu vikao hivyo kama vimeanza.

Sasa,kwa aina hiyo ya kupuuzwa lazima Bunge letu litambue upo walakini wa kwa nini raia hawapendi tena kufuatilia mambo yahusuyo mhimili huo.

Lazima Bunge lielewe ni wazi limepuuzwa!
 
Lipo tatizo tena kubwa mno kwenye Mhimili wetu wa Bunge la Tanzania.

Binafsi,hadi mchana wa leo sikuwa natambua kwamba vikao vya Bunge vimeanza huko Dodoma na imani yangu ni Watanzania wengi ambao pia hawaelewi kuhusu vikao hivyo kama vimeanza.

Sasa,kwa aina hiyo ya kupuuzwa lazima Bunge letu litambue upo walakini wa kwa nini raia hawapendi tena kufuatilia mambo yahusuyo mhimili huo.

Lazima Bunge lielewe ni wazi limepuuzwa!

Mimi nimejua leo nilikuwa naangalia Star TV Mtangazaji Bernad james akasema leo watamaliza saa tatu kamili asubuhi na sio tatu na nusu kupisha kuanza kwa bunge ndio nikajua kumbe lishaanza Hahahahahaaaa!! Hata youtube hakuna clip zozote zilizokuwa zinatambaa wabunge wakichangia,yaani hawa jamaa bunge la 2020-2025 wanatutia hasara hakuna la maana wanalolifanya.
 
Nani alifuatilie Bunge la MAZUZU? labda MAZUZU wenzao.

2766763_20210422_183858.jpg
 
Bunge la 2010-2015, nakumbuka watu walikuwa wanafuatilia kujua mpaka ratiba ya wachangiaji.... ukisikia jioni tutaanza na Ole Sendeka, atafuatiwa na Mnyika.. unaweka alarm kabisa.
 
Kusema kweli bunge ni chombo muhimu Sana na kila mmoja anafahamu lakini kwa hili la kwetu Lina Hali mbaya...
 
Back
Top Bottom