Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 16,096
- 49,651
Nchi ya Ufaransa imepiga marufuku biashara ya ukahaba na ngono kwa ujumla. Iwapo utakutwa unanunua kahaba(ngono) utapigwa faini ya dollar za kimarekani 4500.
Je, unadhani kuna umuhimu nasisi watz kuwa nasheria kama hizo juu ya biashara hii kongwe duniani?
Je, unadhani kuna umuhimu nasisi watz kuwa nasheria kama hizo juu ya biashara hii kongwe duniani?