Bunge la Uingereza jana limepitisha muswada wa kukusaidi kujiua.

Bunge la Uingereza jana limepitisha muswada wa kukusaidi kujiua.

Nunua Toka UK

JF-Expert Member
Joined
Apr 17, 2023
Posts
265
Reaction score
540
Bunge la Uingereza (House Of Common) leo limepigia muswada kura muswada wa “assisted - dying” wa wagonjwa ambao wana terminal illness kuweza kusaidiwa kujiuwa.

Wabunge 330 wamepiga kura ya ndio na wabunge 275 kura ya hapana.

Huo muswada unapelekwa kwenye House Of Lord ili kupishwa kuwa sheria.

Hii sio mara ya kwanza kwa Uingereza kujaribu kupisha huu Muswada. 2015 ulipelekwa bungeni lakini ulipata kura chache.
Watu na taasisi mbali mbali zimetoa masikitiko yao kutokubalia na huu muswada kupitishwa.

Soma zaidi hapa: MPs back landmark bill to legalise assisted dying in England and Wales
 
Huu umeswada ulipelekwa bungeni na Kim Leadbeater, Labour MP ambaye ni dada yake na aliyekuwa mbunge wa Labour marehemu Jo Cox ambaye alishawahi kufanya kazi Bill and Melinda Gates Foundation.
Hii sasa inajenga picha kwa nini watu wamekuwa wanampiga vita Bill Gates.
 
Hapa Tanzania unatekwa halafu unasaidiwa kuuwawa.
Lakini sijui kama Bunge limeidhinisha.
😏
1000016572.jpg
 
Watu wameshaanza kuchambua jinsi itakavyobadilishwa uko mbeleni:
IMG_0131.jpeg

IMG_0132.jpeg
 
Back
Top Bottom