Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna wakuu wa mikoa wangapi ?! Huyu makonda anatafuta sifa kulikopitiliza , mkoa kama Dar alitakiwa Rc mature si huyu mwenye mihemko na ujana unamsumbua huyuNaomba muongozo watu wa sheria, Hivi bunge likimuazimia mh. Makonda linaweza kumfanyaje endapo litampata na hatia ya linalomshutumu?? Maana naona kama Mh. Makonda yupo mbali nao na kumuwajibisha ni mbali au hata hawamgusi
Naombeni msaada ili nielewe tu.