mfalmeselemani
Member
- Sep 30, 2014
- 95
- 47
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tena ni wapuuzi na kama wamegundua wamefanya nini.haya madudu mbona yapo tu miaka nenda miaka rudi.nida ni chaka la majambazi hao hao la kujichotea pesa.tunapigwa matozo wapuuzi wachache wanajichotea tu.Mbwembwe tu za hili bunge dhaifu la mazuzu.
kila siku utasikia tumegundua madudu mara ATCL mara wapi halafu hawachukui hatua , wakiitwa dhaifu na mazuzu wanawaka.
Mazuzu kabisa hawa jamaa
Hawana vifaa wala wataalamuNakuunga kote foleni mwaka wa tatu sasa sijaambulia hicho kitambulisho
Wakajifaraghua nini kuanzisha uandikishaji nchi nzima, si wangeenda mkoa kwa mkoa?Hawana vifaa wala wataalamu
Wala hata haitaji hivyo kwa technolojia jinsi ilivyo ni rahisi sn inapaswa tu kuunganisha taarifa za mtu kutoka kwenye leseni, kitambulisho cha kura, passport, TRA(TIN), NECTA, NACTE, TCU n.k mtu akatengenezewa online, kama walivyofanya certificate za covid hapo ni urasimu na upigaji tu unatusumbua.Wakajifaraghua nini kuanzisha uandikishaji nchi nzima, si wangeenda mkoa kwa mkoa?
Hii nchi ndiyo maana watawala wamejiwekea kinga kutoshitakiwa maana huwa wanapakua haswatena ni wapuuzi na kama wamegundua wamefanya nini.haya madudu mbona yapo tu miaka nenda miaka rudi.nida ni chaka la majambazi hao hao la kujichotea pesa.tunapigwa matozo wapuuzi wachache wanajichotea tu.
Bora ww mwaka wa 3Nakuunga kote foleni mwaka wa tatu sasa sijaambulia hicho kitambulisho
Wewe mwaka wa ngapi boss[emoji1787]Bora ww mwaka wa 3
Kusanyiko la mazuzu tupuHata hawajielewi
Hawafai hata kuwa viongozi wa vichaa
Kuna kusanyiko la waharifu tupuBunge gani tena? Habari yakuwa na bunge tulishasahau...