Bunge lasikiliza maoni ya Freeman Mbowe kupitia simu ya mkononi. Spika ataka mbunge aandae audio nzuri

Bunge lasikiliza maoni ya Freeman Mbowe kupitia simu ya mkononi. Spika ataka mbunge aandae audio nzuri

fazili

JF-Expert Member
Joined
Jun 10, 2011
Posts
16,427
Reaction score
22,418
Mjadala wa kubinafsisha shughuli za bandari ya Dar es Salaam umepamba moto leo katika ukumbi wa bunge Dodoma.

Baada ya wabunge wa CCM kumshutumu Freeman Mbowe kwa kauli yake juu ya nafasi ya wazanzibari kwenye ubinafsishaji wa bandari za Tanzania, spika Tulia Akson amelazimika kuruhusu clip iliyokuwa na matamshi ya Mbowe kuchezwa bungeni.

Clip hiyo ilichezwa kwa sekunde chache kabla ya spika kuisitisha akidai itakuwa ndefu mno na kutaka kichezwe kipande kifupi. Hata hivyo ilishindikana kuendelea na usikilizaji wa maneno ya Mbowe kutokana na ufinyu wa muda.

Bunge lisilo na upinzani ni kama mahubiri makanisani au misikitini.
 
Mjadala wa kubinafsisha shughuli za bandari ya Dar es Salaam umepamba moto leo katika ukumbi wa bunge Dodoma.

Baada ya wabunge wa CCM kumshutumu Freeman Mbowe kwa kauli yake juu ya nafasi ya wazanzibari kwenye ubinafsishaji wa bandari za Tanzania, spika Tulia Akson amelazimika kuruhusu clip iliyokuwa na matamshi ya Mbowe kuchezwa bungeni.

Clip hiyo ilichezwa kwa sekunde chache kabla ya spika kuisitisha akidai itakuwa ndefu mno na kutaka kichezwe kipande kifupi. Hata hivyo ilishindikana kuendelea na usikilizaji wa maneno ya Mbowe kutokana na ufinyu wa muda.

Bunge lisilo na upinzani ni kama mahubiri makanisani au misikitini.
Mbowe akaandamane Sasa maneno mengi ya nini?
 
Wabunge wapuuzi, wameshindwa kujibu maswali ya watanzania kuhusu mkataba wa hovyo walioingia wameishia kumjadili Mbowe!.

Lile bunge ni kutafuta drone idondoshe kitu pale.
Siku hii ikifika nitaruka ruka kwa furaha sana.
Hiv kumbe wengi tunawazaga hiz mambo!!
 
Back
Top Bottom