Bunge laweza shtakiwa mahakamani?

Adhabu gani bunge laweza pewa likikutwa na hatia
kusitisha vikao

Kusitisha spika ama baadhi ya wabunge kutohudhuria

kulifuta bunge... kumzuia waziri mkuu kushiriki

Sorry boss sio mwanasheria ili nilipitapita skul.. na kwa sasa google imenisaidia ku refer cases za nje ya TZ..
Am not Mr know too much but sharing experience..
Thanks
 
Ni kweli, bunge likivunja katiba au sheria yoyote ya nchi linaweza kushitakiwa mahakamani na raia yeyote yule.
 
unatumia akili nyingi kumjibu mpuuzi mkuu?
 
Katiba yetu inatamka kabisa kuwa mahakama ndio chombo cha juu kabisa cha utoaji haki ndani ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
 
Bunge "limebakwa" na serikali, serikali
Imeshindwa "kutongoza" ??!! 🀣🀣

Nataka uone "uchafu" wa maneno yako.
Kakojoe ulale...kwanini serikali ilitongoze Bunge wakati ni ndugu dam dam..kwanini isingetongoza umasikini ,ujinga na maradhi ili tutoke tulipo?
 
Kakojoe ulale...kwanini serikali ilitongoze Bunge wakati ni ndugu dam dam..kwanini isingetongoza umasikini ,ujinga na maradhi ili tutoke tulipo?


Sasa kama Bunge na serkiali ni ndugu na Serikali haiwezi kutongoza nduguye iweje sasa Serikali iweze kumbaka nduguye ??!!---- kapige mswaki unywe chai uwahi shule, hii ni alfajiri.
 
Sasa kama Bunge na serkiali ni ndugu na Serikali haiwezi kutongoza nduguye iweje sasa Serikali iweze kumbaka nduguye ??!!---- kapige mswaki unywe chai uwahi shule, hii ni alfajiri.
Sisomi mimi ni kiranja mkuu..
 
Wewe ni Mwalimu mkuu au kiranja mkuu??!! 😝😝
Jana nilienda kuvuna pilipili mara daa mapishano ya reli na meli pale Idodi sikufichi,kwa sasa huwezi kuingia Buza bila Passport pia sikujua kwamba Khalid Chokoraa anakaa Tandale hadi jana ajali ya Moto Morogoro iligharimu km 15.7 salio lako liko chini ya daraja la mfugale!
 


Kweli wewe ni kiranja mkuu,🀣🀣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…