Bunge letu ni kubwa ukilinganisha na Mabunge ya wafadhili wetu

Bunge letu ni kubwa ukilinganisha na Mabunge ya wafadhili wetu

KiuyaJibu

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2007
Posts
848
Reaction score
191
"Kwenye suala la Bunge, Bunge letu ni kubwa ukilinganisha na wafadhili wetu (Marekani inatufadhili, India inatufadhili nk), sisi Tanzania tuna watu milioni 60+, Marekani ina watu milioni 350+ lakini Bunge lake lina watu 535 Kwa maana ya kwamba Mbunge mmoja wa Marekani anawakilisha watu karibu 700,000 hapa kwetu (Tanzania) hao Wabunge 393 (ukijumlisha na Wabunge wa Viti maalum, Wabunge wa kutoka Baraza la Wawakilishi na Wabunge wa Kuteuliwa na Rais) hata kama kila mmoja angekuwa anawakilisha wananchi (Wabunge wa majimbo) angekuwa anawakilisha watu 150,000 ukilinganisha na hawa wanaotupa fedha (wafadhili) Marekani kwa mfano Ina maana kwamba Mbunge mmoja wa Marekani anawakilisha watu wengi mara tano (5) zaidi ya Mbunge wa Tanzania" -Dkt. Ananilea Nkya

Ni sehemu ya yale aliyozungumza Dkt. Ananilea Nkya wakati akitoa mada kwenye kongamano la Katiba lililofanyika Monarch Hotel, Juni 29.2024, jijini Mwanza

Swali la msingi ninalojiuliza hapa, kwanini tunatumia fedha nyingi kuendesha bunge kuliko nchi zinazotupatia misaada ili hali kuna miradi ya maendeleo inakosa fedha na mingine tunashindwa kuitekeleza kila mwaka.

Nawasilisha kwenu wadau ili tutafakari pamoja ili tuone nini kifanyika.
 
Viti maalum havina faida yo yote. Tunaweza kuokoa mabilioni kwa kuviondoa katika mfumo. Tuanzie hapo kwanza!
 
Kila wilaya inatakiwa iwe na mbunge mmoja tu

Sema Tanzania inaendeshwa na watu wasio waaadilifu

Mkuu wa mkoa anatakiwa apigiwe kura
Sio mkuu wa mkoa anatoka Zanzibar anaenda kuwa mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro sidhani km atakuwa mzalendo
 
"Kwenye suala la Bunge, Bunge letu ni kubwa ukilinganisha na wafadhili wetu (Marekani inatufadhili, India inatufadhili nk), sisi Tanzania tuna watu milioni 60+, Marekani ina watu milioni 350+ lakini Bunge lake lina watu 535 Kwa maana ya kwamba Mbunge mmoja wa Marekani anawakilisha watu karibu 700,000 hapa kwetu (Tanzania) hao Wabunge 393 (ukijumlisha na Wabunge wa Viti maalum, Wabunge wa kutoka Baraza la Wawakilishi na Wabunge wa Kuteuliwa na Rais) hata kama kila mmoja angekuwa anawakilisha wananchi (Wabunge wa majimbo) angekuwa anawakilisha watu 150,000 ukilinganisha na hawa wanaotupa fedha (wafadhili) Marekani kwa mfano Ina maana kwamba Mbunge mmoja wa Marekani anawakilisha watu wengi mara tano (5) zaidi ya Mbunge wa Tanzania" -Dkt. Ananilea Nkya

Ni sehemu ya yale aliyozungumza Dkt. Ananilea Nkya wakati akitoa mada kwenye kongamano la Katiba lililofanyika Monarch Hotel, Juni 29.2024, jijini Mwanza

Swali la msingi ninalojiuliza hapa, kwanini tunatumia fedha nyingi kuendesha bunge kuliko nchi zinazotupatia misaada ili hali kuna miradi ya maendeleo inakosa fedha na mingine tunashindwa kuitekeleza kila mwaka.

Nawasilisha kwenu wadau ili tutafakari pamoja ili tuone nini kifanyika.
kuna bunge pale au kikikundi cha taarabu TOT kikiongozwa na adija kopa spika wa bunge na kapteni komba msukuma
 
Ili kutatua changamoto Kwa wananchi Kwa haraka zaidi....
 
Mimi wingi wa wabunge siyo hoja, hoja ni posho na magari ya anasa wanayotumia kwa pesa za walipa kodi
 
Mbona hujaona bado 2025 Kuna majimbo mapya lukuki yanakuja
 
"Kwenye suala la Bunge, Bunge letu ni kubwa ukilinganisha na wafadhili wetu (Marekani inatufadhili, India inatufadhili nk), sisi Tanzania tuna watu milioni 60+, Marekani ina watu milioni 350+ lakini Bunge lake lina watu 535 Kwa maana ya kwamba Mbunge mmoja wa Marekani anawakilisha watu karibu 700,000 hapa kwetu (Tanzania) hao Wabunge 393 (ukijumlisha na Wabunge wa Viti maalum, Wabunge wa kutoka Baraza la Wawakilishi na Wabunge wa Kuteuliwa na Rais) hata kama kila mmoja angekuwa anawakilisha wananchi (Wabunge wa majimbo) angekuwa anawakilisha watu 150,000 ukilinganisha na hawa wanaotupa fedha (wafadhili) Marekani kwa mfano Ina maana kwamba Mbunge mmoja wa Marekani anawakilisha watu wengi mara tano (5) zaidi ya Mbunge wa Tanzania" -Dkt. Ananilea Nkya

Ni sehemu ya yale aliyozungumza Dkt. Ananilea Nkya wakati akitoa mada kwenye kongamano la Katiba lililofanyika Monarch Hotel, Juni 29.2024, jijini Mwanza

Swali la msingi ninalojiuliza hapa, kwanini tunatumia fedha nyingi kuendesha bunge kuliko nchi zinazotupatia misaada ili hali kuna miradi ya maendeleo inakosa fedha na mingine tunashindwa kuitekeleza kila mwaka.

Nawasilisha kwenu wadau ili tutafakari pamoja ili tuone nini kifanyika.
Ilibidi tuwe na wabunge 110 tu, kila wilaya mbunge mmoja, tuchague vichwa 100 vya kutunga sheria, pili kuwe na mgombea binafsi, tatu kuwe na uwezekano wa kumuondoa mbunge madsrakani hata kabla ya miaka 5,
,
 
Ilitakiwa kusiwepo na mbunge asiyechaguliwa na wananchi na majimbo yapunguzwe wanakula hela bure za wananchi

Halafu wanaongea vitu very irrelevant. Wamekuwa machawa bin kunguni. Uliwahi kumsikia mbunge anaitwa Kabula kachangia chochote cha maana bungeni viti maalum hao. Sijui wa jumuia za vijana. Ndio maana watu wanataka katiba mpya tupungize wavivu na wanyonyaji mjengoni
 
"Kwenye suala la Bunge, Bunge letu ni kubwa ukilinganisha na wafadhili wetu (Marekani inatufadhili, India inatufadhili nk), sisi Tanzania tuna watu milioni 60+, Marekani ina watu milioni 350+ lakini Bunge lake lina watu 535 Kwa maana ya kwamba Mbunge mmoja wa Marekani anawakilisha watu karibu 700,000 hapa kwetu (Tanzania) hao Wabunge 393 (ukijumlisha na Wabunge wa Viti maalum, Wabunge wa kutoka Baraza la Wawakilishi na Wabunge wa Kuteuliwa na Rais) hata kama kila mmoja angekuwa anawakilisha wananchi (Wabunge wa majimbo) angekuwa anawakilisha watu 150,000 ukilinganisha na hawa wanaotupa fedha (wafadhili) Marekani kwa mfano Ina maana kwamba Mbunge mmoja wa Marekani anawakilisha watu wengi mara tano (5) zaidi ya Mbunge wa Tanzania" -Dkt. Ananilea Nkya

Ni sehemu ya yale aliyozungumza Dkt. Ananilea Nkya wakati akitoa mada kwenye kongamano la Katiba lililofanyika Monarch Hotel, Juni 29.2024, jijini Mwanza

Swali la msingi ninalojiuliza hapa, kwanini tunatumia fedha nyingi kuendesha bunge kuliko nchi zinazotupatia misaada ili hali kuna miradi ya maendeleo inakosa fedha na mingine tunashindwa kuitekeleza kila mwaka.

Nawasilisha kwenu wadau ili tutafakari pamoja ili tuone nini kifanyika.
Je umezingatia kuwa kila jimbo la marekani lina mabunge mawili
 
Back
Top Bottom