Hivi karibuni Wizara ya Elimu ilipendekeza Sera mpya ya Elimu ya Msingi kuwa; iishie darasa la sita.
Sasa tunaliomba Bunge letu lijadili Sera hiyo muhimu sana kwa Elimu yetu ya msingi, ili kama inapitishwa basi ianze kutumika mara moja.
Wananchi wamekubaliana na mapendekezo hayo, jambo lilobakia ni kujazia na kuanza kutumika.
Sasa tunaliomba Bunge letu lijadili Sera hiyo muhimu sana kwa Elimu yetu ya msingi, ili kama inapitishwa basi ianze kutumika mara moja.
Wananchi wamekubaliana na mapendekezo hayo, jambo lilobakia ni kujazia na kuanza kutumika.