Bunge lijalo litakuwa hivi

Kuna watu waliacha mabegi yao Dodoma itabidi wayafuate tu maana hamna namna!
 
Siku zote nasema Upinzani Barani Africa Haujitambui Wewe One hoja za upinzani

Uhuru na maendeleo 👈 Upinzani

Maji+Elimu Bure +Umeme+Barabara Safi+Haki sawa+Maendeleo 👈 CCM


Hivi kweli kwa akili yako unaweza kumwambia mtu kuhusu UHURU huku yeye anachota maji Umbali mrefu? Kweli? Ety Uhuru wakujieleza acheni ujinga hamna binadamu yeyote anayeweza kukuelewa katika Hilo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…