Mparee2
JF-Expert Member
- Sep 2, 2012
- 3,092
- 5,386
Kwa mtazamo wangu kuna kitu muhimu Bunge linatakiwa kujifunza hapa
1. Pale wanapo ambiwa kwa maneno matamu kuwa bei itaongezwa kidogo tu, waombe kabisa hiyo draft ya ongezeko ili wajiridhishe kuwa wanachoambiwa ndio kitakachowafikia wananchi; tofauti na hapo inakuwa haileti picha nzuri kwani naamini kabisa wabunge wetu walipitisha sheria bila kujua kuwa bei ya miamala ingekuwa kubwa kiasi hicho
2. Na hii iwe kwa kila bei inayo pendekezwakuongezwa, mfano wakiambiwa bei itaongezeka shs 200, hata kama kuna kodi nyingine (VAT) juu ya hiyo 200 waambiwe pia ili itakapokuwa kwenye utekelezaji waweze kutetea serikali; Mfano unaweza kuambiwa Petrol imeongezwa shs 100, wakati wa utekelezaji ukakuta labda imeongezwa shs125 nk
Huo ni mtazamo wangu na hisi unaweza kuwasaidia wawakilishi wetu
1. Pale wanapo ambiwa kwa maneno matamu kuwa bei itaongezwa kidogo tu, waombe kabisa hiyo draft ya ongezeko ili wajiridhishe kuwa wanachoambiwa ndio kitakachowafikia wananchi; tofauti na hapo inakuwa haileti picha nzuri kwani naamini kabisa wabunge wetu walipitisha sheria bila kujua kuwa bei ya miamala ingekuwa kubwa kiasi hicho
2. Na hii iwe kwa kila bei inayo pendekezwakuongezwa, mfano wakiambiwa bei itaongezeka shs 200, hata kama kuna kodi nyingine (VAT) juu ya hiyo 200 waambiwe pia ili itakapokuwa kwenye utekelezaji waweze kutetea serikali; Mfano unaweza kuambiwa Petrol imeongezwa shs 100, wakati wa utekelezaji ukakuta labda imeongezwa shs125 nk
Huo ni mtazamo wangu na hisi unaweza kuwasaidia wawakilishi wetu