bunge lilokarabatiwa

kabegu

New Member
Joined
Aug 4, 2012
Posts
1
Reaction score
0
Nchi jirani ya kenya inazindua bunge 'jipya' baada ya kulifanyia ukarabati la zamani. Hii ni baada ya kuvutiwa na hivyo kugeza kutoka bunge letu la tanzania. Wamechoshwa na kutupiana viti.viti vya sasa having'oki
 
Nchi jirani ya kenya inazindua bunge 'jipya' baada ya kulifanyia ukarabati la zamani. Hii ni baada ya kuvutiwa na hivyo kugeza kutoka bunge letu la tanzania. Wamechoshwa na kutupiana viti.viti vya sasa having'oki

Kwa kuwa viti having'oki hawarushiana makonde na vitabu......
 
wee mgeni noma.na limekarabatiwa balaa,karibu sana
 
hahaaa...mgeni njoo wenyeji tupone...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…