Bunge linachunguza wasifu wa Mawaziri na kuwaidhinisha rasmi

Bunge linachunguza wasifu wa Mawaziri na kuwaidhinisha rasmi

BARD AI

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2018
Posts
3,591
Reaction score
8,826
1665988916099.png


Bunge la Kenya leo Oktoba 17, 2022 linapitia wasifu wa Mawaziri walioteuliwa na Rais Ruto na kisha kuwaidhinisha katika nafasi hizi.

Katiba ya Kenya inaagiza nafasi mbalimbali za Uongozi ikiwemo Mawaziri kupata ridhaa ya Bunge kwanza kabla ya kuanza kutumikia Serikali.

Fuatilia hapa LIVE.

 
Back
Top Bottom