BARD AI JF-Expert Member Joined Jul 24, 2018 Posts 3,591 Reaction score 8,826 Oct 17, 2022 #1 Bunge la Kenya leo Oktoba 17, 2022 linapitia wasifu wa Mawaziri walioteuliwa na Rais Ruto na kisha kuwaidhinisha katika nafasi hizi. Katiba ya Kenya inaagiza nafasi mbalimbali za Uongozi ikiwemo Mawaziri kupata ridhaa ya Bunge kwanza kabla ya kuanza kutumikia Serikali. Fuatilia hapa LIVE.
Bunge la Kenya leo Oktoba 17, 2022 linapitia wasifu wa Mawaziri walioteuliwa na Rais Ruto na kisha kuwaidhinisha katika nafasi hizi. Katiba ya Kenya inaagiza nafasi mbalimbali za Uongozi ikiwemo Mawaziri kupata ridhaa ya Bunge kwanza kabla ya kuanza kutumikia Serikali. Fuatilia hapa LIVE.