Bunge linasaidia Wabunge kukwepa kodi. Jerry Silaa yupo sahihi kabisa!

Bunge linasaidia Wabunge kukwepa kodi. Jerry Silaa yupo sahihi kabisa!

MchunguZI

JF-Expert Member
Joined
Jun 14, 2008
Posts
4,011
Reaction score
2,185
Thrd hizi tunajaribu kudadavua kwa nini Silaa alisema Wabunge hawalipi kodi. Ofisi ya Bunge inasema Wabunge wanalipa kodi, ikimaanisha PAYE. Upande wa pili, Spika akitumia nguvu nyingi sana kumtia adabu Silaa kwa matamshi yake.

Nionavyo, ni kweli Wabunge wakisaidiwa na ofisi ya Bunge, wanakwepa kodi. Wanatumia mtindo wa kizamani, wa kifisadi kukwepa kodi. Mshahara wa Mbunge milioni 2 plus, marupurupu ni zaidi ya milioni 8! Jumla yote milioni 11!

Unawezaje kulipa kodi ya milioni 2 kama PAYE wakati kipato chako ni milioni 11? Nchi gani dunia hii inayolipa marupurupu mara 4 zaidi ya mshahara wa mtu?

Hii ni mbinu inayofanywa na ofisi ya Bunge ili kuwasaidia wabunge kukwepa kodi. Wabunge lipeni kodi stahili, Silaa yuko sahihi!
 
8C04CA2C-0F1C-4DF9-94BD-338E464795C6.jpeg
 
Thrd hizi tunajaribu kudadavua kwa nini Silaa alisema Wabunge hawalipi kodi. Ofisi ya Bunge inasema Wabunge wanalipa kodi, ikimaanisha PAYE. Upande wa pili, Spika akitumia nguvu nyingi sana kumtia adabu Silaa kwa matamshi yake.

Nionavyo, ni kweli Wabunge wakisaidiwa na ofisi ya Bunge, wanakwepa kodi. Wanatumia mtindo wa kizamani, wa kifisadi kukwepa kodi. Mshahara wa Mbunge milioni 2 plus, marupurupu ni zaidi ya milioni 8! Jumla yote milioni 11!

Unawezaje kulipa kodi ya milioni 2 kama PAYE wakati kipato chako ni milioni 11? Nchi gani dunia hii inayolipa marupurupu mara 4 zaidi ya mshahara wa mtu?

Hii ni mbinu inayofanywa na ofisi ya Bunge ili kuwasaidia wabunge kukwepa kodi. Wabunge lipeni kodi stahili, Silaa yuko sahihi!
Alafu hawa ndiyo wanatupitishia kodi kila kukicha
 
Ni wazi sasa Bunge lilitunga maneno mengi ili tu, mshahara wa mbunge uwe mkubwa. Hiyo posho ya mafuta ya gari binafsi, watumishi wote wa serikali waliokuwa ktk ngazi zinazostahili miaka ya 80, walipewa lita kdahaa pamoja na 30% ya matengenezo kwa mwezi. Baadaye serikali ikaziunganisha na mshahara na kuanza kukatwa kodi. Kwa nini wabunge ziliwekwa tena na kujidai ni posho zisizo na kodi?

Hili ni Bunge la wahuni, wasiotaka kuishi kama wa-tz wengine. Yaonekana ni kweli walijiwekea hata safari za kwenda kukutana na michepuko.
 
Thrd hizi tunajaribu kudadavua kwa nini Silaa alisema Wabunge hawalipi kodi. Ofisi ya Bunge inasema Wabunge wanalipa kodi, ikimaanisha PAYE. Upande wa pili, Spika akitumia nguvu nyingi sana kumtia adabu Silaa kwa matamshi yake.

Nionavyo, ni kweli Wabunge wakisaidiwa na ofisi ya Bunge, wanakwepa kodi. Wanatumia mtindo wa kizamani, wa kifisadi kukwepa kodi. Mshahara wa Mbunge milioni 2 plus, marupurupu ni zaidi ya milioni 8! Jumla yote milioni 11!

Unawezaje kulipa kodi ya milioni 2 kama PAYE wakati kipato chako ni milioni 11? Nchi gani dunia hii inayolipa marupurupu mara 4 zaidi ya mshahara wa mtu?

Hii ni mbinu inayofanywa na ofisi ya Bunge ili kuwasaidia wabunge kukwepa kodi. Wabunge lipeni kodi stahili, Silaa yuko sahihi!
Silaa yuko sahihi na ameonyesha uzalendo. Speaker anazidi kuonyesha ubinafsi na tabia mbaya kutetea ukwepaji kodi wabunge. Anatumia ubabe hadi sisi tunaotoa mawazo kumpinga anatamati tukamatwe.
 
Slaa yuko sahihi na ameonyesha uzalendo. Speaker anazidi kuonyesha ubinafsi na tabia mbaya kutetea ukwepaji kodi wabunge. Anatumia ubabe hadi sisi tunaotoa mawazo kumpinga anatamati tukamatwe.
Nimuonavyo spika sasa ni kama naye ni kiongozi wa serikali. Amejipa mdaraka ya kukamata na kuhukumu. Akiwa majukwaani ni vigumu kutofautisha maneno yake na ya mkuu wa nchi. Kichwa kimevimba.
 
Slaa yuko sahihi na ameonyesha uzalendo. Speaker anazidi kuonyesha ubinafsi na tabia mbaya kutetea ukwepaji kodi wabunge. Anatumia ubabe hadi sisi tunaotoa mawazo kumpinga anatamati tukamatwe.
Hii kama ni kweli sio sahihi. Kwanini Mbunge akabithiwe pesa za wafanyakazi wake? Kuhusu malipo ya wafanyakazi wa Mbunge. Pesa asipewe Mbunge. Jukumu la kulipa wafanyakazi wa Mbunge libaki kwa BUNGE..Bunge liweke utaratibu. Mbunge akiajiri mfanyakazi anawasilisha particulars zake kwenye mamlaka ya bunge kwa ajili ya records na malipo kwa mfanyakazi yoyote wa Mbunge anayetambulika kwa utaratibu wa kibunge. Hii itasaidia kulinda maslahi ya wafanyakazi husika pamoja na kuthibiti pesa za umma.
 
Hii kama ni kweli sio sahihi. Kwanini Mbunge akabithiwe pesa za wafanyakazi wake? Kuhusu malipo ya wafanyakazi wa Mbunge. Pesa asipewe Mbunge. Jukumu la kulipa wafanyakazi wa Mbunge libaki kwa BUNGE..Bunge liweke utaratibu. Mbunge akiajiri mfanyakazi anawasilisha particulars zake kwenye mamlaka ya bunge kwa ajili ya records na malipo kwa mfanyakazi yoyote wa Mbunge anayetambulika kwa utaratibu wa kibunge. Hii itasaidia kulinda maslahi ya wafanyakazi husika pamoja na kuthibiti pesa za umma.
Kama wanapewa fursa ya kuajiri,kwa nini malipo ya wafanyakazi ipitie katika account zao?Je,wanakata makato stahiki ya kiutumishi?Inakuwaje wabunge wanakuwa wabinafsi kiasi hicho na kuachwa wakiwanyima ajira wanajimbo kwa kuwapa mwanya wa hiari ya kuajiri ama kutokuajiri?Huo siyo uchoyo?
 
ndugai hataki kusikia,na alisema yupo imara kuwalinda wabunge na maslah yao
 
Wabunge ni wahujumu uchumi! Mshahara wa milioni 12, kwa kazi gani hasa!! Ya kupiga meza na vigelegele!!!
 
Thrd hizi tunajaribu kudadavua kwa nini Silaa alisema Wabunge hawalipi kodi. Ofisi ya Bunge inasema Wabunge wanalipa kodi, ikimaanisha PAYE. Upande wa pili, Spika akitumia nguvu nyingi sana kumtia adabu Silaa kwa matamshi yake.

Nionavyo, ni kweli Wabunge wakisaidiwa na ofisi ya Bunge, wanakwepa kodi. Wanatumia mtindo wa kizamani, wa kifisadi kukwepa kodi. Mshahara wa Mbunge milioni 2 plus, marupurupu ni zaidi ya milioni 8! Jumla yote milioni 11!

Unawezaje kulipa kodi ya milioni 2 kama PAYE wakati kipato chako ni milioni 11? Nchi gani dunia hii inayolipa marupurupu mara 4 zaidi ya mshahara wa mtu?

Hii ni mbinu inayofanywa na ofisi ya Bunge ili kuwasaidia wabunge kukwepa kodi. Wabunge lipeni kodi stahili, Silaa yuko sahihi!
Kwa ushauri wako maana yake hizo posho na marupurupu yote yachanganywe na ionekane ni mshahara ili yakatwe Kodi, right...?

Kama ndiyo, basi hata Mimi nakubaliana na wewe...

Lakini swali linabaki moja kuwa, wapo watumishi wengine pia wanalipwa marupu rupu mengi na makubwa kuliko hata mishahara yao na kuliko wabunge, hao nao tunaonaje nao walipie kodi marupurupu hayo?

Na je, kwanini serikali isifanye marekebisho ya scheme za mishahara kwa watumishi wote wa umma ili kuleta usawazisho wa usawa ili kuondoa matabaka haya na kupunguza malalamiko..??
 
Thrd hizi tunajaribu kudadavua kwa nini Silaa alisema Wabunge hawalipi kodi. Ofisi ya Bunge inasema Wabunge wanalipa kodi, ikimaanisha PAYE. Upande wa pili, Spika akitumia nguvu nyingi sana kumtia adabu Silaa kwa matamshi yake.

Nionavyo, ni kweli Wabunge wakisaidiwa na ofisi ya Bunge, wanakwepa kodi. Wanatumia mtindo wa kizamani, wa kifisadi kukwepa kodi. Mshahara wa Mbunge milioni 2 plus, marupurupu ni zaidi ya milioni 8! Jumla yote milioni 11!

Unawezaje kulipa kodi ya milioni 2 kama PAYE wakati kipato chako ni milioni 11? Nchi gani dunia hii inayolipa marupurupu mara 4 zaidi ya mshahara wa mtu?

Hii ni mbinu inayofanywa na ofisi ya Bunge ili kuwasaidia wabunge kukwepa kodi. Wabunge lipeni kodi stahili, Silaa yuko sahihi!

Wabunge makelele ya nini kwani wamalipo kodi stahiki kwa malipo yao yote?
 
TRA nao wapuuzi tu. Sijui wapo wanafanya nini?!!!!!!!
Hapana, unawakosea kuwatukana...

Wao wanakusanya kodi kwa kuongozwa na sheria zilizopo...

Hawawezi kukusanya kodi kwenye eneo au kwa mtu ambaye sheria haimtaji kuwa alipe kodi...

Nyie tukomaeni na wabunge ambao ndiyo watunga sheria za kuumiza watu ili sheria hizi hizi zianze kuwaumiza na wao mpaka washike adabu kisha wajifunze kutunga sheria fair zanye kumfaa kila mtu ktk jamii...
 
Back
Top Bottom