Bunge linawaalika kutoa maoni ya muswada wa kulinda rasilimali za taifa

Bunge linawaalika kutoa maoni ya muswada wa kulinda rasilimali za taifa

Mzalendo Uchwara

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2020
Posts
4,437
Reaction score
13,836
Kweli wamedhamiria, mnaalikwa kwenda kutoa maoni juu ya mabadiliko ya sheria mbalimbali kama tangazo linavyoonekana.

Miongoni mwa sheria zinazobadilishwa ni 'The natural wealth and resources act".

Ni wazi kuwa mabadiliko hayo yanafanyika ili kuhalalisha haramu ya mkataba wa DPW.

Kazi kwenu watanganyika, waandikieni hata email hao wawakilishi wenu. (email zao zipo kwenye tangazo hapo)

Screenshot_20230807-145650~2.png


Vifungu vinavyobadilishwa hivi hapa.
IMG-20230807-WA0005.jpg

IMG-20230807-WA0007.jpg


Ni kama utani vile. Yaani tumetunga sheria ili kujilinda na aina hii ya uhuni, alafu leo inakwenda kubadilishwa ili tupigwe tena 🤣🤣🤣🤣. Dah!
 
Hata tukitoa maoni, huwa hayazingatiwi. wao wameshaenda pale na yao, hapo wanakamilisha tu ratiba. kwani la DP WORLD lilizingatiwa? mbona mnapenda sana kuchezea akili za watanzania?
 
Matapeli tu, baada ya kuingia mkataba wa hovyo wa bandari, wakaupitisha bungeni, ndio wanatualika kutoa maoni yetu sasa baada ya kugundua kosa lao walilofanya kwenye ule mkataba wa bandari.

Hasa baada ya kuona kesi iliyofunguliwa mahakamani, miongoni mwa yale yanayolalamikiwa ni watangannyika kutopewa nafasi ya kutoa maoni yao.

Hiki wanachokifanya sasa ni kuhalalisha haramu kupitia kwa watanganyika, hakuna maana kwa mtanganyika yeyote kwenda kutoa maoni yake kwenye jambo ambalo limeshakosewa, muhimu ni kuvunja ule mkataba wa hovyo wa bandari tuanze upya, bunge linachofanya sasa ni utapeli mtupu.

Samia na hawa vibaraka wake wametukosea sana watanganyika, wasitudanganye kwa haya maigizo wanayofanya sasa, na kama hili tangazo limekuja makusudi baada ya kuahirisha kusoma ile hukumu kule Mbeya, vyema watambue ndio wanajidanganya zaidi.
 
Kweli wamedhamiria, mnaalikwa kwenda kutoa maoni juu ya mabadiliko ya sheria mbalimbali kama tangazo linavyoonekana.

Miongoni mwa sheria zinazobadilishwa ni 'The natural wealth and resources act".

Ni wazi kuwa mabadiliko hayo yanafanyika ili kuhalalisha haramu ya mkataba wa DPW. Kazi kwenu watanganyika, waandikieni hata email hao wawakilishi wenu.

View attachment 2711108

Vifungu vinavyobadilishwa hivi hapa.
View attachment 2711109
View attachment 2711110
STUPID, WAMEDHAMIRIA. ATANGANYIKA TUSHIKAMANE
 
Matapeli tu, baada ya kuingia mkataba wa hovyo wa bandari, wakaupitisha bungeni, ndio wanatualika kutoa maoni yetu sasa baada ya kugundua kosa lao walilofanya kwenye ule mkataba wa bandari.

Hasa baada ya kuona kesi iliyofunguliwa mahakamani, miongoni mwa yale yanayolalamikiwa ni watangannyika kutopewa nafasi ya kutoa maoni yao.

Hiki wanachokifanya sasa ni kuhalalisha haramu kupitia kwa watanganyika, hakuna maana kwa mtanganyika yeyote kwenda kutoa maoni yake kwenye jambo ambalo limeshakosewa, muhimu ni kuvunja ule mkataba wa hovyo wa bandari tuanze upya, bunge linachofanya sasa ni utapeli mtupu.

Samia na hawa vibaraka wake wametukosea sana watanganyika, wasitudanganye kwa haya maigizo wanayofanya sasa, na kama hili tangazo limekuja makusudi baada ya kuahirisha kusoma ile hukumu kule Mbeya, vyema watambue ndio wanajidanganya zaidi.
Mtachoka tu na mwisho wa siku mtanyamaza wenyewe.
Kelele zenu za mitandaoni haziizuii serikali kufanya yake
 
Kweli wamedhamiria, mnaalikwa kwenda kutoa maoni juu ya mabadiliko ya sheria mbalimbali kama tangazo linavyoonekana.

Miongoni mwa sheria zinazobadilishwa ni 'The natural wealth and resources act".

Ni wazi kuwa mabadiliko hayo yanafanyika ili kuhalalisha haramu ya mkataba wa DPW.

Kazi kwenu watanganyika, waandikieni hata email hao wawakilishi wenu. (email zao zipo kwenye tangazo hapo)

View attachment 2711108

Vifungu vinavyobadilishwa hivi hapa.
View attachment 2711109
View attachment 2711110

Ni kama utani vile. Yaani tumetunga sheria ili kujilinda na aina hii ya uhuni, alafu leo inakwenda kubadilishwa ili tupigwe tena 🤣🤣🤣🤣. Dah!
The first civilization who slavery Africans were Arabs, they took them from eastern coast pre- European colonies. Hapa wanarudi tena
 
Ati nini?

Nauli wanatoa?

Maoni yangu ni haya! Raisi aliyeanguka saini kuridhia sheria hizo na wabunge waliozipitisha sheria hizo bado wapo? Wao wanajisikiaje wakiona wabunge wenzao wanakwenda kuondoa kile waliamini kinatija katika kulinda rasilimali zetu? Wanajionaje yaani!

Kama wanajiona poa! basi sawa,
 
Ati nini?

Nauli wanatoa?

Maoni yangu ni haya! Raisi aliyeanguka saini kuridhia sheria hizo na wabunge waliozipitisha sheria hizo bado wapo? Wao wanajisikiaje wakiona wabunge wenzao wanakwenda kuondoa kile waliamini kinatija katika kulinda rasilimali zetu? Wanajionaje yaani!

Kama wanajiona poa! basi sawa,
Tena hawa ni wabunge wa JPM, wengi wao wasingekuwa pale bila mbeleko yake. Leo wamekengeuka kabisa.
 
Ati nini?

Nauli wanatoa?

Maoni yangu ni haya! Raisi aliyeanguka saini kuridhia sheria hizo na wabunge waliozipitisha sheria hizo bado wapo? Wao wanajisikiaje wakiona wabunge wenzao wanakwenda kuondoa kile waliamini kinatija katika kulinda rasilimali zetu? Wanajionaje yaani!

Kama wanajiona poa! basi sawa,
email na barua wanapokea pia.
 
Mtachoka tu na mwisho wa siku mtanyamaza wenyewe.
Kelele zenu za mitandaoni haziizuii serikali kufanya yake
Ni kweli, wakiamua kuiba wataiba tu. Kwasababu hatuna historia ya kuwajibusha watu wakishatoka madarakani ndio maana hawana hofu.
 
Back
Top Bottom