Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 1,096
- 4,948
Bunge letu lipo ICU, wamepoteana; spika Hana taarifa kamati zilikwenda kukagua nini ila aliwawezesha. It sounds like fedha za matembezi zilitoka.
Wabunge wameacha kusimamia serikali wanatetea serikali kwamba wao wanataka kutuambia Mawaziri wote wapo vizuri ila watumishi WA umma ni vichomi. Kwamba madudu yote yaliyotajwa kwenye ripoti makosa yametendwa in absence ya wanasiasa? Kwanini sasa tuna wanasiasa kwenye mfumo wa serikali tena wakiwa na final say kwenye kila sekta?
Kwamba halmashauri zinaibiwa Baraza la madiwani ambalo wabunge ni wajumbe awajui? Wabunge wanaacha kujua madudu yanayofanywa walipozaliwa? Kwamba ubovu wa miradi unafanyika gizani?
Tunapaswa kutambua Bunge limejifia na hata kama litakuja la vyama vingi hakuna changes; uwezo wa wanaoitwa wabunge umeshuka Sana. Kupeana dili kutaendelea kuila nchi
Wabunge wameacha kusimamia serikali wanatetea serikali kwamba wao wanataka kutuambia Mawaziri wote wapo vizuri ila watumishi WA umma ni vichomi. Kwamba madudu yote yaliyotajwa kwenye ripoti makosa yametendwa in absence ya wanasiasa? Kwanini sasa tuna wanasiasa kwenye mfumo wa serikali tena wakiwa na final say kwenye kila sekta?
Kwamba halmashauri zinaibiwa Baraza la madiwani ambalo wabunge ni wajumbe awajui? Wabunge wanaacha kujua madudu yanayofanywa walipozaliwa? Kwamba ubovu wa miradi unafanyika gizani?
Tunapaswa kutambua Bunge limejifia na hata kama litakuja la vyama vingi hakuna changes; uwezo wa wanaoitwa wabunge umeshuka Sana. Kupeana dili kutaendelea kuila nchi