Bunge lipo au halipo??

Bunge lipo au halipo??

Panizo

Member
Joined
Jul 1, 2011
Posts
89
Reaction score
35
Naombeni msaada kwa anaye fahamu, kama bunge litakuwepo au la..kama litakuwepo je ni saa ngap na shughuli zipi ni za leo
 
Chabruma tunaomba jibu hapa tafadhali
mkuu Skype,unanipata? Ni kwamba kwa siku ya leo Bunge limeanza saa 3 kamili asubuhi. Na leo kinachoendelea ni semina kwa wabunge kuhusu kanuni za bunge hilo. Kwa vile hakuna kipya kinachojadiliwa au kwa vile hakuna maamuzi yanayofanyika, ndo maana sikuona haja ya kuweka uzi humu. Kumradhi wadau kwa hilo
 
mkuu Skype,unanipata? Ni kwamba kwa siku ya leo Bunge limeanza saa 3 kamili asubuhi. Na leo kinachoendelea ni semina kwa wabunge kuhusu kanuni za bunge hilo. Kwa vile hakuna kipya kinachojadiliwa au kwa vile hakuna maamuzi yanayofanyika, ndo maana sikuona haja ya kuweka uzi humu. Kumradhi wadau kwa hilo

Shukrani mkuu nimekupata vema kabisa, nikutakie siku njema.
 
asante kwa kutufahamisha
ila nilisikia juzi mwenyekit mpya wa bunge la katiba alifanya kitu
nami sikupata habari ila ni habari za kusikia juujuu naomba uniambie alifanya nini mkiti sitta?

Ahsante sana mkuu. Tuungane kesho wakati tukifuatilia semina ya wenzetu kutoka Kenya
 
Na hawa ndiyo wanasiasa wetu... Mmmmmmh !! ona
kombani.jpg
 
Naombeni msaada kwa anaye fahamu, kama bunge litakuwepo au la..kama litakuwepo je ni saa ngap na shughuli zipi ni za leo

Kama alivyotueleza Chabruma, leo ni semina ya kanuni.
Lakini pia kama ungependa kufuatilia waweza tega Star TV sasa wako hewani.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom