Siasa za bongo zinaumiza mioyo yetu wazalendo.
Mbaya zaidi ni ujue kua hii kitu inafanywa kisiasa tu hamna kitu, huku wale wanaoujua mchezo wakihinikiza na wananchi mbumbumbu nao wapige makofi pamoja nao.
Mbaya zaidi ni pale hao mbumbumbu wakiunga mkono na kufurahia hizo ngonjera za wanasiasa.