Bunge litageuka ukumbi wa sanaa za maigizo ili kuvutia watazamaji

Bunge litageuka ukumbi wa sanaa za maigizo ili kuvutia watazamaji

Phillemon Mikael

Platinum Member
Joined
Nov 5, 2006
Posts
10,557
Reaction score
8,673
Spika wa Bunge Ndugu Job Ndugai amesikika akisema kuwa kwa sasa anataka bunge lipewe nafasi zaidi ya kusikika na anataka wabunge wajitahidi kuwa wasemaji, wasiwe mabubu wasijipendekeze. Hii ina maana ana mashaka na wabunge wake upande huo.

Uchambuzi wa haraka unaonesha kuwa itakuwa ngumu sana kupata ubora genuine anaotaka kutuaminisha kama hakuna ushindani unaolenga kupata dola , ambao ndio msingi wa ushindani wa Kibunge .

Njia atakayokuwa nayo Job Ndugai kwa sasa itakuwa ile ya kupanga maigizo kabla ya kuingia bungeni kama njia ya kufanya propaganda ili bunge lionekane linafanya kazi ...kwa kutumia sanaa za maigizo ...mfano kabla ya kuingia Mbunge analishwa SCRIPT na kujazwa emotions na WAZIRI naye anaandaliwa ...kufanya senema .... "problem creation ;problem solving strategy" ....tutegemee kuona senema hadi za kufukuzana au kutoana nje ...ili tu kuwahadaaa watu na kujaribu kubakia relevant .

Hii ni tofauti na unapokuwako upinzani ambako hoja zinakua genuine

Lakini pia tukubali kuwa wapinzani wanatumia sana vitengo vyao vya utafiti ...na kuhakikisha wabunge wanatoa hoja ,na hata wabunge wao "mabubu' wanawanoa , hii ni tofauti na wabunge walio wengi wa CCM ambao wengi huwa hawana muda wa kusoma nyaraka na makabrasha ....sijui kama kwenye hili watakuwa tayari kubadilika .
 
Ok noted

Ukinijibu haya nami sitaangalia bunge kabisa

Je? Wafahamu baadhi ya wabunge ni ndugu zangu na wanapokea posho na mshahara hivyo wanatajirisha ukoo wetu

Je wajua pesa za bunge hili sisi wengine tutafidia hasara tuliyotumia kusomesha watoto ulaya kwa miaka mitatu iliyopita huku wewe ukiendelea kula uyoga na maji machafu

Je?Wajua kila mtu na anabeba na atabeba mzigo wake mwenyewe

Wewe beba zigo lako la chuki na umaskini

Hakuna kinachokusumbua zaidi ya hasira za uchaguzi,Uchaguzi ulishapita kama kuumia ulishaumia sana sana huku sisi tunakula bata

Kwa style hii na roho mbaya uliyonayo nitaendelea kusifia na kutetea ccm siku zote

Sasa kwa akili zako kuna jambo linafanyika bila maigizo hapa duniani?

Hapo tu ulipo na ulichoandika ni tosha maigizo na sio maigizo tu bali vituko na vichekesho

Ccm oyeeeeee oyeeeeeee

Tumeipenda wenyewe ndi ndi ,

Tafuta pesa ndugu hata tukilala bungeni pesa na posho zinaingia na familia zetu zinaishi maisha mazuri

Utatafuna mihogo mibichi mpaka pale utakapoamua kujiunga ccm muulize Dkt Mihogo atakuambia raha ya ubalozi
 
Ok noted

Ukinijibu haya nami sitaangalia bunge kabisa

Je? Wafahamu baadhi ya wabunge ni ndugu zangu na wanapokea posho na mshahara hivyo wanatajirisha ukoo wetu

Je wajua pesa za bunge hili sisi wengine tutafidia hasara tuliyotumia kusomesha watoto ulaya kwa miaka mitatu iliyopita huku wewe ukiendelea kula uyoga na maji machafu

Je?Wajua kila mtu na anabeba na atabeba mzigo wake mwenyewe

Wewe beba zigo lako la chuki na umaskini

Hakuna kinachokusumbua zaidi ya hasira za uchaguzi,Uchaguzi ulishapita kama kuumia ulishaumia sana sana huku sisi tunakula bata

Kwa style hii na roho mbaya uliyonayo nitaendelea kusifia na kutetea ccm siku zote

Sasa kwa akili zako kuna jambo linafanyika bila maigizo hapa duniani?

Hapo tu ulipo na ulichoandika ni tosha maigizo na sio maigizo tu bali vituko na vichekesho

Ccm oyeeeeee oyeeeeeee

Tumeipenda wenyewe ndi ndi ,
Hatukatai ila sayansi hiyo itumike kwa mambo yenye maslahi ya imma na sii kwa kikundi cha wachache.
 
Tangu walipoanza kufanya editing ya hotuba za wapinzani nikaona hili sio bunge tena bali dampo tu.
 
Sijaona mbunge mwenye uwezo wa kupangua hoja, na kufanya analysisi Kama zito

Ccm nzima

Wamejaa watu wa blaaa blaaa

Cheki Kama hawa

Gwajima ,hopeless
 
Wale waliokuwa wanafunika midomo yao nakutoka nje ya ukumbi wakati wameshavuta posho ndio waliokuwa wanafanya maigizo yenye kuwanyima maendeleo wapiga kura wao.

Waligeuza siasa za ubunge kama ndio sehemu ya kutajirikia wakasahau kuwa kuna siku watachokwa.
 
Bora waandae hizo script maana MTU kama Lusinde wapinzani hawapo ataongea nini?.
 
Wataweza kumkosoa mkubwa wao? Labda wataishia tu kwa waziri.
Huenda wakarudisha bunge live ila hamu ya kusikiliza bunge itafifia sana.
Bora liende tu. Unaangalia kwaya, movies na habari za kawaida na muziki kofogo bila kusahau kazi!
 
Unafiki mbaya sana saivi matumizi hayabanwi sio?
 
Ok noted

Ukinijibu haya nami sitaangalia bunge kabisa

Je? Wafahamu baadhi ya wabunge ni ndugu zangu na wanapokea posho na mshahara hivyo wanatajirisha ukoo wetu

Je wajua pesa za bunge hili sisi wengine tutafidia hasara tuliyotumia kusomesha watoto ulaya kwa miaka mitatu iliyopita huku wewe ukiendelea kula uyoga na maji machafu

Je?Wajua kila mtu na anabeba na atabeba mzigo wake mwenyewe

Wewe beba zigo lako la chuki na umaskini

Hakuna kinachokusumbua zaidi ya hasira za uchaguzi,Uchaguzi ulishapita kama kuumia ulishaumia sana sana huku sisi tunakula bata

Kwa style hii na roho mbaya uliyonayo nitaendelea kusifia na kutetea ccm siku zote

Sasa kwa akili zako kuna jambo linafanyika bila maigizo hapa duniani?

Hapo tu ulipo na ulichoandika ni tosha maigizo na sio maigizo tu bali vituko na vichekesho

Ccm oyeeeeee oyeeeeeee

Tumeipenda wenyewe ndi ndi ,

Tafuta pesa ndugu hata tukilala bungeni pesa na posho zinaingia na familia zetu zinaishi maisha mazuri

Utatafuna mihogo mibichi mpaka pale utakapoamua kujiunga ccm muulize Dkt Mihogo atakuambia raha ya ubalozi
In fact bado unaushi kwenu.
 
Ilikuwa kosa kubwa kuminya upinzani wakianza na engua engua ya wsgombe, kuzuia mawakala nk. Ni bora warudi kwenye chama kimoja.
Bila hoja kinzani ni tabu tu. Hata katika familia baba anaweza kupingwa kwa hoja. Haina maana kumpa kichapo anayekupinga au kumnyima kitu.
 
Back
Top Bottom