Sophist
Platinum Member
- Mar 26, 2009
- 4,486
- 3,408
Ndugu,
Binafsi nimekuwa na mashaka na integrity ya uteuzi wa Wabunge wa Bunge Maalum la Katiba.
Mashaka yangu yanarokana na kauli alizotoa Rais Kikwete - Mbeya Jumapili iliyopita na Dar es Salaam jana kwenye mkutano wa Baraza la Vyama Siasa kuwa amekuwa akitumiwa vi-memo akiombwa kuwateua akina fulani.
Ni vigumu kuamini kuwa Ikulu imepoteza integrity kiasi hicho! Aidha ni vigumu kuamini kuwa watu walioteuliwa kwa vi-memo wanaweza kuwakilisha maslahi ya umma badala ya masuala yao binafsi, hata kununuliwa na vikindi maslahi.
Nina mashaka iwapo Bunge Maalum la Katiba halitakuwa limejaa mabarakara.
Tumeliwa!
Binafsi nimekuwa na mashaka na integrity ya uteuzi wa Wabunge wa Bunge Maalum la Katiba.
Mashaka yangu yanarokana na kauli alizotoa Rais Kikwete - Mbeya Jumapili iliyopita na Dar es Salaam jana kwenye mkutano wa Baraza la Vyama Siasa kuwa amekuwa akitumiwa vi-memo akiombwa kuwateua akina fulani.
Ni vigumu kuamini kuwa Ikulu imepoteza integrity kiasi hicho! Aidha ni vigumu kuamini kuwa watu walioteuliwa kwa vi-memo wanaweza kuwakilisha maslahi ya umma badala ya masuala yao binafsi, hata kununuliwa na vikindi maslahi.
Nina mashaka iwapo Bunge Maalum la Katiba halitakuwa limejaa mabarakara.
Tumeliwa!