Bunge Maalum la Katiba: A Questionable Integrity!

Sophist

Platinum Member
Joined
Mar 26, 2009
Posts
4,486
Reaction score
3,408
Ndugu,
Binafsi nimekuwa na mashaka na integrity ya uteuzi wa Wabunge wa Bunge Maalum la Katiba.

Mashaka yangu yanarokana na kauli alizotoa Rais Kikwete - Mbeya Jumapili iliyopita na Dar es Salaam jana kwenye mkutano wa Baraza la Vyama Siasa kuwa amekuwa akitumiwa vi-memo akiombwa kuwateua akina fulani.

Ni vigumu kuamini kuwa Ikulu imepoteza integrity kiasi hicho! Aidha ni vigumu kuamini kuwa watu walioteuliwa kwa vi-memo wanaweza kuwakilisha maslahi ya umma badala ya masuala yao binafsi, hata kununuliwa na vikindi maslahi.

Nina mashaka iwapo Bunge Maalum la Katiba halitakuwa limejaa mabarakara.

Tumeliwa!
 
Sasa Rais kwanini analalamikia mambo kama hayo hadharani? kama kuna vimemo anatumiwa basi hakuna sababu ya kusema hadharani
 
Kama uliweka matumainie makubwa kwa samweli luhanga umeliwa,mean hasabu umeumia
 
Tundu lisu alilisema hli.mkamwona n mropokaj haya bunge la katba wateule wa vmemo
 
Moderator,
hii thread siyo siyo Katiba Mpya forum substantive, ila ni political forum substantive. Tafadhali itendee haki thread kwa kuirudisha kwenye political forum ili ipate due attention na kujadiliwa ipasavyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…