Bunge ni Mali ya Wananchi kitendo cha kuwazuia Wabunge wenye taarifa muhimu za Kamati ni udhalimu

Bunge ni Mali ya Wananchi kitendo cha kuwazuia Wabunge wenye taarifa muhimu za Kamati ni udhalimu

Mzee wa Code

Member
Joined
Sep 23, 2024
Posts
61
Reaction score
91
Bunge la Tanzania Leo limeanza kikao vyake jijini Dodoma ambapo bunge ili litajadili taarifa za kamati tatu muhimu, ambazo zimewasilishwa na kamati hizo za kudumu kamati hizi zimewasilisha taarifa muhimu baada ya kupitia taarifa ya Cag ambapo makati hizo tatu za kudumu ambazo ni Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC),

KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA HESABU ZA SERIKALI (PAC) kamati ya kudumu ya bunge ya ukaguzi mashirika ya umma PIC

Kamati hizi katika taarifa zake kuna madudu Mengi ya yameibuliwa na kamati zote tatu, kimsingi kamati hizi ni uti wa mgongo wa matumizi ya Fedha nyingi za serikali asa kamati ya Laac ambayo ukagua hesabu za serikali za mitaa.

Jambo ajabu ni kitendo cha Chama Cha Mapinduzi wakiongozwa na Mwenyekiti wa Wabunge ambao ni Waziri Mkuu wa Kassim Majaliwa na Katibu wake, Mbunge wa Mlalo, Rashid Shangazi wameitisha kikao siku ya jana (Oktoba 28, 2024) ambacho kilikuwa maalum kuwapa maelekezo ya kujadili taarifa hizo.

Soma Pia: Bunge labaini uozo ukusanyaji mapato, Kisarawe Halmashauri sugu!

Waziri Mkuu amewapa maelekezo Wabunge wa CCM wachangie hoja kwa kusifia taarifa hizo ambazo ndani yake kuna utafunaji wa Fedha za Maendeleo ambao umefanyika katika halmashauri zikiongozwa na Dar, Leo hii Waziri Mkuu Kasimu Majaliwa anawafundisha wabunge wachangie kwa Kusifia na kama hawawezi wakae kimya.

CCM tunawakumbusha bunge lipo Kikatiba acheni kugopa uchaguzi, Rais Samia atahumiwa na matatizo aliyoyasabisha ugumu wa Maisha utaamua acheni kuogopa uchaguzi.

image_750x_636a5d7078e53.jpeg
 
Kwa hiyo wakisifia ndio Wakandarasi wazawa watalipwa fedha zao?....tatizo la maji litakwisha?...utekaji utakwisha??...

Nchi yangu mama Tanzania, Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema,alikupa kila kitu isipokuwa Viongozi bora..
 
Bunge la Tanzania Leo limeanza kikao vyake jijini Dodoma ambapo bunge ili litajadili taarifa za kamati tatu muhimu, ambazo zimewasilishwa na kamati hizo za kudumu kamati hizi zimewasilisha taarifa muhimu baada ya kupitia taarifa ya Cag ambapo makati hizo tatu za kudumu ambazo ni Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC),
KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA HESABU ZA SERIKALI (PAC) kamati ya kudumu ya bunge ya ukaguzi mashirika ya umma PIC

kamata hizi katika taarifa zake kuna madudu Mengi ya yameibuliwa na kamati zote tatu, kimsingi kamati hizi ni uti wa mgongo wa matumizi ya Fedha nyingi za serikali asa kamati ya Laac ambayo ukagua hesabu za serikali za mitaa

jambo ajabu ni kitendo cha chama cha mapinduzi wakiongozwa na Mwenyekiti wa wabunge ambas ni Waziri Mkuu wa Kassim majaliwa, na Katibu wake Mbunge wa Mlalo Rashid Shangazi wameitisha kikao siku ya jana ambacho kilikuwa maalum kuwapa maelekezo ya kujadili taarifa hizo

yani waziri Mkuu jana aliwapa maelekezo wbaunge wa ccm wąchanie hoja kwa kusifia taaarifa hizo ambazo ndani yake kuna utafunaji wa Fedha za maendeleo embat umefanyika katika halmashauli imgiongozwa na dar, Leo hii Waziri Mkuu Kasimu Majaliwa anawafundisha wabunge wachangie kwa Kusifia na kama awawezi ukaże kimya

ccm tunawakumbusha bunge lipo kikatiba acheni kugopa uchaguzi Rais Samia atakuuhumiwa na matiatizo aliyoyasabisha ugumu wa Maisha utaamua acheni kuogopa uchaguzi

View attachment 3138350View attachment 3138351
Bado unafuatilia bunge, sisi wenzio tumeshalipuuza muda mrefu ndio maana huoni tukilialia hapa. Na hilo sio bunge la wananchi bali la dhalimu magu.
 
Bunge la Tanzania Leo limeanza kikao vyake jijini Dodoma ambapo bunge ili litajadili taarifa za kamati tatu muhimu, ambazo zimewasilishwa na kamati hizo za kudumu kamati hizi zimewasilisha taarifa muhimu baada ya kupitia taarifa ya Cag ambapo makati hizo tatu za kudumu ambazo ni Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC),
KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA HESABU ZA SERIKALI (PAC) kamati ya kudumu ya bunge ya ukaguzi mashirika ya umma PIC

kamata hizi katika taarifa zake kuna madudu Mengi ya yameibuliwa na kamati zote tatu, kimsingi kamati hizi ni uti wa mgongo wa matumizi ya Fedha nyingi za serikali asa kamati ya Laac ambayo ukagua hesabu za serikali za mitaa

jambo ajabu ni kitendo cha chama cha mapinduzi wakiongozwa na Mwenyekiti wa wabunge ambas ni Waziri Mkuu wa Kassim majaliwa, na Katibu wake Mbunge wa Mlalo Rashid Shangazi wameitisha kikao siku ya jana ambacho kilikuwa maalum kuwapa maelekezo ya kujadili taarifa hizo

yani waziri Mkuu jana aliwapa maelekezo wbaunge wa ccm wąchanie hoja kwa kusifia taaarifa hizo ambazo ndani yake kuna utafunaji wa Fedha za maendeleo embat umefanyika katika halmashauli imgiongozwa na dar, Leo hii Waziri Mkuu Kasimu Majaliwa anawafundisha wabunge wachangie kwa Kusifia na kama awawezi ukaże kimya

ccm tunawakumbusha bunge lipo kikatiba acheni kugopa uchaguzi Rais Samia atakuuhumiwa na matiatizo aliyoyasabisha ugumu wa Maisha utaamua acheni kuogopa uchaguzi

View attachment 3138350View attachment 3138351
Huyu kiswaswadu tangu alidanganye Taifa tena akiwa msikitini kuwa dhalim yuko mzima anachapa kazi wakati mtu yuko kwenye jokofu sijawahi kumuamini tena,ni mtu mmoja fix sana ndiyo maana anapaka kiwi nyeusi kichwani ili aonekane bado kijana.
 

Attachments

  • IMG-20220610-WA0004.jpg
    IMG-20220610-WA0004.jpg
    16.9 KB · Views: 3
Bunge la Tanzania Leo limeanza kikao vyake jijini Dodoma ambapo bunge ili litajadili taarifa za kamati tatu muhimu, ambazo zimewasilishwa na kamati hizo za kudumu kamati hizi zimewasilisha taarifa muhimu baada ya kupitia taarifa ya Cag ambapo makati hizo tatu za kudumu ambazo ni Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC),
KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA HESABU ZA SERIKALI (PAC) kamati ya kudumu ya bunge ya ukaguzi mashirika ya umma PIC

kamata hizi katika taarifa zake kuna madudu Mengi ya yameibuliwa na kamati zote tatu, kimsingi kamati hizi ni uti wa mgongo wa matumizi ya Fedha nyingi za serikali asa kamati ya Laac ambayo ukagua hesabu za serikali za mitaa

jambo ajabu ni kitendo cha chama cha mapinduzi wakiongozwa na Mwenyekiti wa wabunge ambas ni Waziri Mkuu wa Kassim majaliwa, na Katibu wake Mbunge wa Mlalo Rashid Shangazi wameitisha kikao siku ya jana ambacho kilikuwa maalum kuwapa maelekezo ya kujadili taarifa hizo

yani waziri Mkuu jana aliwapa maelekezo wbaunge wa ccm wąchanie hoja kwa kusifia taaarifa hizo ambazo ndani yake kuna utafunaji wa Fedha za maendeleo embat umefanyika katika halmashauli imgiongozwa na dar, Leo hii Waziri Mkuu Kasimu Majaliwa anawafundisha wabunge wachangie kwa Kusifia na kama awawezi ukaże kimya

ccm tunawakumbusha bunge lipo kikatiba acheni kugopa uchaguzi Rais Samia atakuuhumiwa na matiatizo aliyoyasabisha ugumu wa Maisha utaamua acheni kuogopa uchaguzi

View attachment 3138350View attachment 3138351
Waisiharamu awana akili ya kuongoza labda wawe viongozi wa kuongoza nguruwe tu
 
HISTORIA YA BUNGE LISILO WEKA MASLAHI YA WANANCHI, MFANO WA HIVI KARIBUNI

SHERIA KUTOTUNGWA KWA MAKUSUDI KWAIPA TAMISEMI MENO NA MAMLAKA

Wakati tukisubiri tukio hili muhimu lazima kupata historia tumefikaje hapa watanzania.

Mkwe wa mheshimiwa rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye ni waziri katika ofisi ya rais tawala za mikoa na serikali za mitaa TAMISEMI leo kuongoza na kutoa miongozo ya uchaguzi wa serikali za mitaa wa November 2024

Wizara ya TAMISEMI imepewa jukumu hiki zito baada ya bunge kushindwa kutunga sheria kuipa meno INEC Tume Huru ya Uchaguzi Tanzania kusimamia uchaguzi huo

Serikali ya CCM kujiburuza kutoweka kiraka katika katiba ili uchaguzi uwe huru na wa haki, wanatumia hoja ya kiufundi :

Mambo mazito yaelezewa kwa kina :

:FIRE: MAZITO : kisheria yafafanuliwa

BUNGE KUTOTUNGA SHERIA INAIPA TAMISEMI KUSIMAMIA UCHAGUZI


View: https://m.youtube.com/watch?v=zsVIiXNjhlg

2024 Majukumu ya Tume INEC:

10.-(1) Kwa kuzingatia matakwa ya Ibara za 74(6), 75 na 78 za Katiba, Tume itakuwa na majukumu yafuatayo:

(a) kusimamia na kuratibu uandikishaji wa wapiga kura kwa ajili ya uchaguzi wa Rais na Wabunge katika Jamhuri ya Muungano na uchaguzi wa Madiwani kwa Tanzania Bara;

(b) kusimamia na kuratibu uendeshaji wa uchaguzi
wa Rais na Wabunge na uchaguzi wa Madiwani
kwa Tanzania Bara;

(c) kusimamia na kuratibu uendeshaji wa uchaguzi
wa serikali za vijiji, mitaa na vitongoji TanzaniaBara kwa kuzingatia utaratibu utakao ainishwa katika Sheria itakayotungwa na Bunge;

(d) kuchunguza mipaka na kuigawa Jamhuri ya
Muungano katika maeneo mbalimbali kwa ajili ya
uchaguzi wa Wabunge;

(e) kuteua na kuwatangaza Wabunge Wanawake wa
Viti Maalumu katika Jamhuri ya Muungano na Madiwani Wanawake wa Viti Maalumu kwa Tanzania Bara;

(f) kuandaa na kusimamia Kanuni za Maadili ya.....

Source :
SHERIA YA TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI YA MWAKA
2024 (22nd March, 2024
ACT SUPPLEMENT To The Gazette of the United Republic of Tanzania No. 12 Vol. 105 Dated 22
nd March, 2024Printed by The Government Printer, Dodoma by Order of Government)


Wakili msomi anafafanua mkanganyiko uliopo katika jamii, Tume Huru ya Uchaguzi pamoja ya kupewa mamlaka ya kusimamia chaguzi, tatizo bunge la chama kimoja haijapitisha sheria bungeni kuipa meno kusimamia Uchaguzi wa Serikali za Mitaa November 2024 mawakili wasema.....

Zaidi ya hilo uchaguzi wa serikali ya mitaa ili uweze kupiga kura lazima uwe unaorodhoshwe ktk daftari ikiwemo .... bila kujiandikisha kwenye daftari hutaweza kupiga kura uchaguzi wa TAMISEMI November 2024...

Mpaka itapotungwa sheria bungeni waziri wa TAMISEMI ataendelea kusimamia uchaguzi wa November 2024 ....


Ni lazima tena kujiandikisha ktk daftari la Serikali ya Mitaa ili uweze kupiga kura November 2024 .....
 
HISTORIA YA BUNGE LISILO WEKA MASLAHI YA WANANCHI, MFANO WA HIVI KARIBUNI

SHERIA KUTOTUNGWA KWA MAKUSUDI KWAIPA TAMISEMI MENO NA MAMLAKA

Wakati tukisubiri tukio hili muhimu lazima kupata historia tumefikaje hapa watanzania.

Mkwe wa mheshimiwa rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye ni waziri katika ofisi ya rais tawala za mikoa na serikali za mitaa TAMISEMI leo kuongoza na kutoa miongozo ya uchaguzi wa serikali za mitaa wa November 2024

Wizara ya TAMISEMI imepewa jukumu hiki zito baada ya bunge kushindwa kutunga sheria kuipa meno INEC Tume Huru ya Uchaguzi Tanzania kusimamia uchaguzi huo

Serikali ya CCM kujiburuza kutoweka kiraka katika katiba ili uchaguzi uwe huru na wa haki, wanatumia hoja ya kiufundi :

Mambo mazito yaelezewa kwa kina :

:FIRE: MAZITO : kisheria yafafanuliwa

BUNGE KUTOTUNGA SHERIA INAIPA TAMISEMI KUSIMAMIA UCHAGUZI


View: https://m.youtube.com/watch?v=zsVIiXNjhlg

2024 Majukumu ya Tume INEC:

10.-(1) Kwa kuzingatia matakwa ya Ibara za 74(6), 75 na 78 za Katiba, Tume itakuwa na majukumu yafuatayo:

(a) kusimamia na kuratibu uandikishaji wa wapiga kura kwa ajili ya uchaguzi wa Rais na Wabunge katika Jamhuri ya Muungano na uchaguzi wa Madiwani kwa Tanzania Bara;

(b) kusimamia na kuratibu uendeshaji wa uchaguzi
wa Rais na Wabunge na uchaguzi wa Madiwani
kwa Tanzania Bara;

(c) kusimamia na kuratibu uendeshaji wa uchaguzi
wa serikali za vijiji, mitaa na vitongoji TanzaniaBara kwa kuzingatia utaratibu utakao ainishwa katika Sheria itakayotungwa na Bunge;

(d) kuchunguza mipaka na kuigawa Jamhuri ya
Muungano katika maeneo mbalimbali kwa ajili ya
uchaguzi wa Wabunge;

(e) kuteua na kuwatangaza Wabunge Wanawake wa
Viti Maalumu katika Jamhuri ya Muungano na Madiwani Wanawake wa Viti Maalumu kwa Tanzania Bara;

(f) kuandaa na kusimamia Kanuni za Maadili ya.....

Source :
SHERIA YA TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI YA MWAKA
2024 (22nd March, 2024
ACT SUPPLEMENT To The Gazette of the United Republic of Tanzania No. 12 Vol. 105 Dated 22
nd March, 2024Printed by The Government Printer, Dodoma by Order of Government)


Wakili msomi anafafanua mkanganyiko uliopo katika jamii, Tume Huru ya Uchaguzi pamoja ya kupewa mamlaka ya kusimamia chaguzi, tatizo bunge la chama kimoja haijapitisha sheria bungeni kuipa meno kusimamia Uchaguzi wa Serikali za Mitaa November 2024 mawakili wasema.....

Zaidi ya hilo uchaguzi wa serikali ya mitaa ili uweze kupiga kura lazima uwe unaorodhoshwe ktk daftari ikiwemo .... bila kujiandikisha kwenye daftari hutaweza kupiga kura uchaguzi wa TAMISEMI November 2024...

Mpaka itapotungwa sheria bungeni waziri wa TAMISEMI ataendelea kusimamia uchaguzi wa November 2024 ....


Ni lazima tena kujiandikisha ktk daftari la Serikali ya Mitaa ili uweze kupiga kura November 2024 .....

Leo nimeshangaa mbunge mmoja alipochangia hotuba za pacc,LAAC na pic mchango wake iliingilia na matangazo ya biashara
 
Huyu kiswaswadu tangu alidanganye Taifa tena akiwa msikitini kuwa dhalim yuko mzima anachapa kazi wakati mtu yuko kwenye jokofu sijawahi kumuamini tena,ni mtu mmoja fix sana ndiyo maana anapaka kiwi nyeusi kichwani ili aonekane bado kijana.
Kutoka uzeeni kuja ujanani.
 
Back
Top Bottom