Hakuna hiyari ya kuwaambukiza wengine!Hiyari inakuwaje uwasisitize
Kwani ukichanjwa huwezi kuambukiza?Hakuna hiyari ya kuwaambukiza wengine!
Huko ni kuongezea kile ambacho Mh Rais hakukisema, yeye alisema chanjo ni hiari basi!Hakuna hiyari ya kuwaambukiza wengine!
Hakuna hiyari ya kuwaambukiza wengine!
Ki ukweli WASIOchanjwa 👇👇Ki ukweli walio chanjwa ndio wenye uwezekano mkubwa kuwa ambukiza wengine virusi vilivyo jinyumbulisha na kuwa hatari zaidi.
Pole pole weeee,Polepole weee, alisema marehem SEIF (R.I.P) Wafaaa na Gwajima wakoBunge limekanusha madai ya Wabunge wasiopata Chanjo kutoruhusiwa kuingia Bungeni, likisema kuchanja ni hiari yao na wanahimizwa kufanya hivyo
Imeelezwa, utaratibu umeandaliwa kuwawezesha wapate Chanjo katika Viwanja vya Bunge kwa hiari yao ili wajikinge na kuwakinga wengine
View attachment 1891940
Mtu mwenyewe wewe !! Hata wakikujibu hovyo sawa tu .Juzi niliandika kuwa wabunge Gwajima na poleople wanatakiwa kuchanjwa la sivyo hawataingia bungeni leo ofisi ya bunge imenijibu kishkaji, watajijua wenyewe
USSRView attachment 1891980
Uhiari wa hii barua ya bunge kama vile kuna kaulazimishaji kamejificha kwa ndaaani. Ila mimi nitachanja, dunia yote inachanja hakuna cha kuhofia.Juzi niliandika kuwa wabunge Gwajima na poleople wanatakiwa kuchanjwa la sivyo hawataingia bungeni leo ofisi ya bunge imenijibu kishkaji, watajijua wenyewe
USSRView attachment 1891980