Juzi niliandika kuwa wabunge Gwajima na poleople wanatakiwa kuchanjwa la sivyo hawataingia bungeni leo ofisi ya bunge imenijibu kishkaji, watajijua wenyewe
... kikao kinaanza na kwa ucheshi as tunavyomfaham Job, "leo waheshimiwa wabunge naomba tufanye jambo moja kabla ya kuanza kikao chetu, wale wabunge walichanjwa wakae upande huu na ambao hawajachanjwa kaeni kuleeeee...