Bungeni: Mariam Ditopile Makamu M/kiti Viwanda, Biashara, Kilimo & Mifugo kuukabili mfumuko wa bei ya Vyakula nchini

Bungeni: Mariam Ditopile Makamu M/kiti Viwanda, Biashara, Kilimo & Mifugo kuukabili mfumuko wa bei ya Vyakula nchini

CM 1774858

JF-Expert Member
Joined
May 29, 2021
Posts
5,621
Reaction score
5,029
IMG-20230210-WA0182.jpg

HATIMAYE MHE MARIAM DITOPILE AMECHAGULIWA KWA KURA NYINGI KUWA MAKAMU MWENYEKITI WA KAMATI YA VIWANDA, BIASHARA, KILIMO NA MIFUGO.

======

Mbunge wa Wanawake kupitia Mkoa wa Dodoma Mheshimiwa Mariam Ditopile Mzuzuri amechaguliwa leo Februari 10, 2023 kushika nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara, Kilimo na Mifugo.
 
..sio " kidume " huyu?

..ana mume au bwana?

..labda atapewa maana marehemu baba[ capt.ukiwaona ramadhani mwinshehe ditopile mzuzuri ] yake alikuwa rafiki mkubwa wa Mzee Kikwete.

Alikuwa ni best man kwenye harusi yake JK inasemekana hata hakufa huyu Mzee ni janjajanja ilifanyika
 
Alikuwa ni best man kwenye harusi yake JK inasemekana hata hakufa huyu Mzee ni janjajanja ilifanyika
Ni muhimu kuheshimu watu, jamii na hata taifa kwa ujumla.
Fikra na maelezo ya kijingajinga namna hii yasipewe nafasi kwa kuwa yanaweza kuharibu jamii na taifa.
Janjajanja ili nini? Mfumo jinai mwenye uamuzi wa mwisho ni Rais kwa mujibu wa sheria na katiba kwa wakati huo hadi sasa.
Unamuona Rais JK ni mjinga kiasi kwamba ashindwe kujua mamlaka yake ya kuamua kumuweka huru kisheria bila hiyo janjajanja ya kifo?
 
Ni muhimu kuheshimu watu, jamii na hata taifa kwa ujumla.
Fikra na maelezo ya kijingajinga namna hii yasipewe nafasi kwa kuwa yanaweza kuharibu jamii na taifa.
Janjajanja ili nini? Mfumo jinai mwenye uamuzi wa mwisho ni Rais kwa mujibu wa sheria na katiba kwa wakati huo hadi sasa.
Unamuona Rais JK ni mjinga kiasi kwamba ashindwe kujua mamlaka yake ya kuamua kumuweka huru kisheria bila hiyo janjajanja ya kifo?
Usitaharuki.Kama ameandika uongo,mrekebishe kwa kuuandika ukweli tu.
 
Ni muhimu kuheshimu watu, jamii na hata taifa kwa ujumla.
Fikra na maelezo ya kijingajinga namna hii yasipewe nafasi kwa kuwa yanaweza kuharibu jamii na taifa.
Janjajanja ili nini? Mfumo jinai mwenye uamuzi wa mwisho ni Rais kwa mujibu wa sheria na katiba kwa wakati huo hadi sasa.
Unamuona Rais JK ni mjinga kiasi kwamba ashindwe kujua mamlaka yake ya kuamua kumuweka huru kisheria bila hiyo janjajanja ya kifo?
Yule Mzee alikufa Mwacheni apumzike jamani
 
Back
Top Bottom