Wakati mwingine simlaumu sana Halima Mdee.Inasikitisha. Hao 19 wanaongea point sana bungeni lakini hoja zao hazina maana kwenye bunge la CCM. Zinakuwa na mashiko zikitokea anga za upinzani halisi hasa CHADEMA. Na Halima ana DNA ya CHADEMA haswa...
Kwa maana hiyo CCM wanakubali kiaina kuwa Cov 19 hawapo hapo kihalali.... cc Ndugai.Amemwambia Halima Mdee kwamba pamoja na yote yaliyofanywa na serikali ya awamu ya 5 yanayolalamikiwa , lakini Mdee na wenzake 18 wanapaswa kuishukuru serikali hiyo kwa kuendelea kuwemo bungeni...
Wanajua sana na aliyewawezesha ni Mwendazake na ndugai anawalinda hata kwa kuvunja katibaKwa maana hiyo CCM wanakubali kiaina kuwa Cov 19 hawapo hapo kihalali.... cc Ndugai.
Amefanana na yule wa BIG SEX PAYERS...... Au siyo yeye?
Halima amekuja kuharibikiwa uzeeni sababu ya tamaa za kijinga
Mimi nahisi sababu zilizomfanya afanye alioyafanya mpaka sasa hatuzijui. Kuna njia nyingi tu za kumshurutisha mtu afqnye ambalo hapendezwi nalo. Halima hakuwa mwenyewe tangu wakati wa kampeni. Hakuwa na moto wa kawaida...wakati mwingine simlaumu sana Halima Mdee.
..hivi kati yetu ni nani alitegemea Magufuli atakufa...
Hawezi kufanya chochote nje ya siasa labda aunge juhudi za mama apewe uteuzi kama kina nassariAtakuwa anataka amalizie miaka yake mitano achukue pensheni aachane na siasa kabisa
Kweli kabisa mfano gari nyeupe isimame hapo utajitia kiburi kweli?Mimi nahisi sababu zilizomfanya afanye alioyafanya mpaka sasa hatuzijui. Kuna njia nyingi tu za kumshurutisha mtu afqnye ambalo hapendezwi nalo. Halima hakuwa mwenyewe tangu wakati wa kampeni. Hakuwa na moto wa kawaida...
Hii naivulia kofia, kuishi Kama kunguru😆😆Wanajua kabisa siku zao zinahesabika mule bungeni. Wakiamka jambo la kwanza kabla hajaosha masaburi lazima aangalie habari isijekuwa mkeka umechanika😃😃😃
Wanaishi kama kunguru.
hata ungekuwa wewe,ungetoka ili iweje...??...ukale wapi?lol..mnamponda Mdee kwa vitu/msimamo ambao wengi wenu mngefanya hivyo hivyo..lol
[emoji2][emoji2][emoji2]Wewe unaweza kumuuza mtoto kisa analeta fedhavnyumbani
Nahisi ni more complicated kuliko hilo Mkuu.Kweli kabisa mfano gari nyeupe isimame hapo utajitia kiburi kweli?
Haya masimango yanahitaji akili zikuruke kwanza ndiyo uendelee kubaki bungeni na kuongea. Ningekuwa mimi ningebaki nifunge mdomo nisubiri mshahara na matokeo yake kwa sababu ndicho nilichokitaka.Tulisha maliza maombi ,KWA kuendelea kuiba kodi za walipa kodi na wakijua hawastaili kuwa Bungeni ,mengi yaja juu yao wasipo ondoka Bungeni,ni mwanzo tu
..wakati mwingine simlaumu sana Halima Mdee...
Mambo ya kisarakasi hayo unafikiri ni akiri zake? anahitaji maombi tu, hana tofauti ni sawa Slaa yale yale tu.Aisee namheshimu sana Haalima, sijui alipatwa na shetani gani!!