Bungeni: Ziara za makundi mbalimbali zasitishwa ili kuepuka msongamano

Bungeni: Ziara za makundi mbalimbali zasitishwa ili kuepuka msongamano

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191
1617960432880.png

Naibu Spika wa Bunge la Tanzania, Dkt. Tulia Ackson ambaye pia ni mbunge wa Mbeya Mjini ametangaza kusitisha ziara mbalimbali bungeni.

Bunge limekuwa likipokea ziara za mafunzo kwa wanafunzi na makundi mengine, Naibu Spika amesitisha ili kuepuka msongamano wakati huu wa bunge la Bajeti.
 
Back
Top Bottom