Bungeni

Samir saad

Member
Joined
Aug 28, 2013
Posts
15
Reaction score
0
BUNGEN!Naam kama ilvyoada,wazir mkuu muheshmiwa mizengo pinda muda c mrf amectsha bunge na kuzngumzia mamb meng,walosilha wameckia,USHAUR KWA WABUNGE,mnaporud majmbon hebu kbla hamjafanya hvyo nendn mkajfunze din zenu waislam kwa wakristo ili muwe mam nidhamu mtakapo rud tena tarh 29 october mtakuwa mnanidhamu il fujo zcwepo tena!
 

Unaandika kitoto toto vile! Hivi una miaka mingapi ya kuzaliwa?
 
Acha nipite tu lakini kwa huo utumbo uliobandika humu sidhani kama utasalimika...utapokea vitu adimu,utachambuliwa mpaka kitongoji ulichotoka...bora ubandue tu,usije akafanywa kama dogo flani aniandika utumbo kuhusu #MZUMBE alichokipata si haba
 

Hoja yako haijakaa mahala panapostahili.Pia umeandika kama mtoto wa darasa la tatu mkuu, jifunze kuandika vizuri.
 

sasa huu uzi unahusiana nini na jukwaa la elimu muraa! hukuona jukwaa la siasa! pimbi kweli wewe.
 

HII SIO FACEBOOK BWANA MDOGO,jaribu kuwa na DISCIPLINE.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…