KERO Bunju A maeneo ya Dogodogo Center hatuna maji wiki ya 2 sasa, kuna mgawo?

KERO Bunju A maeneo ya Dogodogo Center hatuna maji wiki ya 2 sasa, kuna mgawo?

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wakuu,

Wizara ya Maji nawasalimu.

Bunju A maeneo ya Dogodogo Center hamna maji hii ni wiki ya 2 sasa, yalitoka siku moja tu ndio ikawa kimoja hadi leo. Mbona mnataka kutufanya ngamia wenzenu na hatupo kwenye jangwa?

Mpaka tuanze kununua ndoo moja elf 2 ndio mfurahi?

Kama kuna mgao useme, na huu hautakuwa mgawo wa kitoto. Tutakuwa tumeishiwa maji kabisaaa mpaka tunakaa wiki mbili tunaona maji siku moja tu tena kwa masaa machache.

Wizara ya Maji .... mawasiliano ya Jumaa Aweso inabidi yawe public aone jinsi ambavyo anazingua na watu wake.
 
Mimi kwangu bomba liliziba juzi kati ikabidi nichokoe chokoe kidogo kwenye koki ,

Lahaulaa vikaanza kutoka vipande pande vya chura aisee, ila ikagundua uchafu ni mwingi sana

Haya maji ndugu msinywe sio salama sana( Bagamoyo ,kerege)
 
Mimi kwangu bomba liliziba juzi kati ikabidi nichokoe chokoe kidogo kwenye koki ,

Lahaulaa vikaanza kutoka vipande pande vya chura aisee, ila ikagundua uchafu ni mwingi sana

Haya maji ndugu msinywe sio salama sana( Bagamoyo ,kerege)
Recently maji yamekuwa siyo masafi, wamekuwa wakisema wakifungua yale ya mwanzo yatakuwa na vumbi baadaye yataclear lakini hali hii haijabadilika muda mrefu... ni kama source (wao) siyo safi
 
Bora ninyi maji hayajatoka wiki mbili tu.Wakazi wa msakuzi Kwa lipelanya,Kwa lubaba,makabe,mpigie magoe,n.k hawajawahi kuyaona maji ya DAWASA.maji wanayotumia ni ya kuchimba visima wenyewe ambayo ni ya chumvi lakini Kila siku wajinga wanamsifia mama mama mara aweso kafanya kile.ujinga mtupu
 
Wakuu,

Wizara ya Maji nawasalimu.

Bunju A maeneo ya Dogodogo Center hamna maji hii ni wiki ya 2 sasa, yalitoka siku moja tu ndio ikawa kimoja hadi leo. Mbona mnataka kutufanya ngamia wenzenu na hatupo kwenye jangwa?

Mpaka tuanze kununua ndoo moja elf 2 ndio mfurahi?

Kama kuna mgao useme, na huu hautakuwa mgawo wa kitoto. Tutakuwa tumeishiwa maji kabisaaa mpaka tunakaa wiki mbili tunaona maji siku moja tu tena kwa masaa machache.

Wizara ya Maji .... mawasiliano ya Jumaa Aweso inabidi yawe public aone jinsi ambavyo anazingua na watu wake.
Mimi kwa sasa nimeamua kunywa mkojo!!,naswaki kwa mkojo na chambia mkojo,pia
 
Back
Top Bottom