Bureau Change zisipofungiwa uchumi utazidi kushuka

Bureau Change zisipofungiwa uchumi utazidi kushuka

BrownRange

JF-Expert Member
Joined
Dec 25, 2020
Posts
927
Reaction score
1,191
Nikiwa mdau wa biashara inayotumia dola kwa malipo mbalimbali, nimekuwa mhanga wa upotevu wa dollar. Leo imenibidi nieleze niliyoyaona.

Unaweza fika bureau change, na Kuna watu wengi wanabadilisha dollar, ukifika dirishani uweze kupatiwa dollar, wanakuambia hawana, hii ni uhujumu uchumi kabisa

Ili kukomesha hii hali inayohatarisha uchumi wa nchi, ni nashauri serikali izifungie burea change zote, na kuzifanyia audit kwa muda, ili kunusuru uchumi wa nchi

Naomba kuwasilisha
 
Nikiwa mdau wa biashara inayotumia dola kwa malipo mbalimbali, nimekuwa mhanga wa upotevu wa dollar. Leo imenibidi nieleze niliyoyaona.

Unaweza fika bureau change, na Kuna watu wengi wanabadilisha dollar, ukifika dirishani uweze kupatiwa dollar, wanakuambia hawana, hii ni uhujumu uchumi kabisa

Ili kukomesha hii hali inayohatarisha uchumi wa nchi, ni nashauri serikali izifungie burea change zote, na kuzifanyia audit kwa muda, ili kunusuru uchumi wa nchi

Naomba kuwasilisha
Kwa serikali ipi? Au hii hii inayomilikkisha kila kitu wageni
 
Si kweli unachosema. Kwahiyo na wale wa vituo vya mafuta wanaosemaga mafuta hakuna nao serekali ifungie vituo vya mafuta kunusuru uchumi?

Itafutwe njia ya kudili na Hali sio kufungia maduka acha ujima. Dawa sio kufungia.

Mwaka Jana watu walikuwa wanaficha mafuta ya kula kwa hiyo dawa ni kuyafungia maduka yote yanayouza mafuta ya kula? Kuna kipindi cement inapotea na watu wanasema hakuna ukienda kununua kwahiyo kwa akili zako serekali ifunge maduka ya cement kipindi hicho?
 
Alichofanya bwana yule alikuwa sawa kwa 💯 ila alikuwa anapigwa kisiasa ...Mara msukuma ili mradi wapinzani wamchafu leo kaja mwingine kuna sababu ya uzanzibar mara mwanamke.

Magufuli tunamuombea hata sisi waislamu huko alipo.
 
Si kweli unachosema. Kwahiyo na wale wa vituo vya mafuta wanaosemaga mafuta hakuna nao serekali ifungie vituo vya mafuta kunusuru uchumi?
Umewahi kujiuliza kwanini zamani serikali ilikuwa imehodhi kila kitu, ni kwa sababu hizi za kipuuzi. Mmeachiwa mfanye biashara, badala mfate matakwa ya sheria, mnaihujumu serikali. Vifungiwe, wanaofata sheria kwa haki waruhusiwe. Ndio maana nimeshauri vifungiwe kwa muda halafu ufanyike ukaguzi kushirikisha mamlaka zote
 
Umewahi kujiuliza kwanini zamani serikali ilikuwa imehodhi kila kitu, ni kwa sababu hizi za kipuuzi. Mmeachiwa mfanye biashara, badala mfate matakwa ya sheria, mnaihujumu serikali. Vifungiwe, wanaofata sheria kwa haki waruhusiwe. Ndio maana nimeshauri vifungiwe kwa muda halafu ufanyike ukaguzi kushirikisha mamlaka zote
Sorry, sitakujibu
 
Tatizo wanapambana kubadilisha kila kitu alichokifanya JPM, mwisho wa siku wanaharibu tu.
 
Back
Top Bottom