Burger za Morocco

Burger za Morocco

fungafunga

Senior Member
Joined
Mar 30, 2010
Posts
116
Reaction score
155
Wanajamvi naomba kujua yule aliekuwa akitengeneza Burger pale kituo cha mafuta cha Total pale Morocco karibu na makao makuu ya Airtel Tanzania wapo wapi siku hizi?

Najua kuna wakati walihamia viwanja vya Leaders club ila baada ya hapo hawakuwahi huonekana tena.

Ninaomba mwenye anuani yao tafadhali anipatie. Natanguliza shukrani.
 
Wanajamvi naomba kujua yule aliekuwa akitengeneza Burger pale kituo cha mafuta cha Total pale Morocco karibu na makao makuu ya Airtel Tanzania wapo wapi siku hizi?

Najua kuna wakati walihamia viwanja vya Leaders club ila baada ya hapo hawakuwahi huonekana tena.

Ninaomba mwenye anuani yao tafadhali anipatie. Natanguliza shukrani.
Nilichojifunza kuwa na leaders wamehama.
Sasa wamehama lini?

Sent using Jamii Forums mobile app
Pale nje opposite na gate la Leaders club ndio alipohamia.
 
Back
Top Bottom