fungafunga
Senior Member
- Mar 30, 2010
- 116
- 155
Wanajamvi naomba kujua yule aliekuwa akitengeneza Burger pale kituo cha mafuta cha Total pale Morocco karibu na makao makuu ya Airtel Tanzania wapo wapi siku hizi?
Najua kuna wakati walihamia viwanja vya Leaders club ila baada ya hapo hawakuwahi huonekana tena.
Ninaomba mwenye anuani yao tafadhali anipatie. Natanguliza shukrani.
Najua kuna wakati walihamia viwanja vya Leaders club ila baada ya hapo hawakuwahi huonekana tena.
Ninaomba mwenye anuani yao tafadhali anipatie. Natanguliza shukrani.