Wpendwa katika bwana napenda kutoa shukran kwa wale wote walioshiriki
pamoja nami katika kumwaga bibietu bibi anna kipingu alietwaliwa na mungu
katika ulimwengu wa dunia hii na kwenda kuandaa makao huko mbinguni
Tutakukumbuka bibi kwa mapenzi yako na msaada wako wa mawazo
kwa zaidi tunashukuru kwa upendo uliotuavhia sisi wajukuu
Bibi najua sikuweza kukusindikiza mpaka korogwe lakini naamini Mungu atalinda
huko uliko...kwa niaba ya familia ya kipingu,familia ya marehemu S.MBEZI
tunatoa ahsante zetu kwa wote walioshiriki katika hali na mali katika kuwezesha kumsafirisha bibi yetu kuelekea LUSHOTO nyumban kwake ambapo atazikwa
kesho katika makao yake ya milele
Bwana ametoa bwana ametwaa jina la bwana libarikiwe
pamoja nami katika kumwaga bibietu bibi anna kipingu alietwaliwa na mungu
katika ulimwengu wa dunia hii na kwenda kuandaa makao huko mbinguni
Tutakukumbuka bibi kwa mapenzi yako na msaada wako wa mawazo
kwa zaidi tunashukuru kwa upendo uliotuavhia sisi wajukuu
Bibi najua sikuweza kukusindikiza mpaka korogwe lakini naamini Mungu atalinda
huko uliko...kwa niaba ya familia ya kipingu,familia ya marehemu S.MBEZI
tunatoa ahsante zetu kwa wote walioshiriki katika hali na mali katika kuwezesha kumsafirisha bibi yetu kuelekea LUSHOTO nyumban kwake ambapo atazikwa
kesho katika makao yake ya milele
Bwana ametoa bwana ametwaa jina la bwana libarikiwe